Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe unajua?Formula imevurugika sana
Kumbe unajua?
Nyie ndo mnasanuka Leo mbona wenzenu kitambo sana?
How?Ila ems wanairudisha kwenye njia sahihi
How?
Si kwa sababu ni star ulitegemea a wapeleke wapi?Huyu role model wako kasomea kayumba ila watoto wake kapeleka ems kwa ajili ya bright future
Hamisa Mobetto, Mtoto wa “Kayumba” anaefanya mambo makubwa
I am so proud of you Hamisa. This girl need to be studied. Kasoma Kayumba kuanzia chekechea hadi form four ( Kaishia Form 4 mwaka 2010 Tandika Secondary School) Lakini anafanya mambo makubwa kuliko wenzake ambao hawakusoma Kayumba na Wana Degree na Masters. Wazazi tunao somesha watoto wetu...www.jamiiforums.com
Watu huwa hawajui Ems inambadilisha mtoto hata kama asipokuwa na maisha mazuri ila amejengwa kwenye msingi wa deep thinking, sina lengo la kubrag ila nimesoma lake primary mwanza tulikuwa na kipindi cha physical Education ni kama kipindi cha michezo ila hii ni kwa darasa moja moja kama kipindi mna shiriki michezo mbali mbali sio mpira wa miguu tu, kuna kipindi cha kusoma vitabu hii inamsadia mtoto uwezo wa kusoma kitabu na kuelewa, pia kwa kuwa unasoma na wazungu,wahindi, waarabu hii inamsadia mtoto kutoa ujinga wa kuwaona watu weupe ni boraHuyu role model wako kasomea kayumba ila watoto wake kapeleka ems kwa ajili ya bright future
Hamisa Mobetto, Mtoto wa “Kayumba” anaefanya mambo makubwa
I am so proud of you Hamisa. This girl need to be studied. Kasoma Kayumba kuanzia chekechea hadi form four ( Kaishia Form 4 mwaka 2010 Tandika Secondary School) Lakini anafanya mambo makubwa kuliko wenzake ambao hawakusoma Kayumba na Wana Degree na Masters. Wazazi tunao somesha watoto wetu...www.jamiiforums.com
Watu huwa hawajui Ems inambadilisha mtoto hata kama asipokuwa na maisha mazuri ila amejengwa kwenye msingi wa deep thinking, sina lengo la kubrag ila nimesoma lake primary mwanza tulikuwa na kipindi cha physical Education ni kama kipindi cha michezo ila hii ni kwa darasa moja moja kama kipindi mna shiriki michezo mbali mbali sio mpira wa miguu tu, kuna kipindi cha kusoma vitabu hii inamsadia mtoto uwezo wa kusoma kitabu na kuelewa, pia kwa kuwa unasoma na wazungu,wahindi, waarabu hii inamsadia mtoto kutoa ujinga wa kuwaona watu weupe ni bora
😅😅😅 sio wa kishua mzee tu alijitusua akatupeleka hukoKumbe wa wakishua kabisa.
Si kwa sababu ni star ulitegemea a wapeleke wapi?
Wazazi wenye umri wa 55 na zaidi huchangia kuwaaminisha watoto wao hivyo bila kutazama nyakati. Ukianza kusema 'nimejiajuri' wanakuonea huruma na kuona kama umekosa focus.