kwenye mambo ya maspais na nini, nainua kichwa juu kabisaa. Sihofii nyani wala ngedere. Kwanza Steve, ukishatengeneza/andaa mchemsho? au nilipoteza muda tu?usiniambie hukumbuki.
Mchemsho hushushwa na juisi au soda baridiiii.
Nakumbuka mama....ni ingredients ndizo nimekosa π π nitakupatia anuani ya posta unitumia, walau kwa EMS au DHL
haina hasara 500 wikiendi nzima.....uzuri wa ulabu aisee uzime utoe nishai.YoYo, bado unakunywa chang'aa tu?!! π
tumeambiwa na wachumi wetu wakina John mashaka tubane matumizi..........sasa umeshakuwa mchumi wewe!! lol
...maayne, best beers are from belgium... is this the case for henny?!