FBI walivyomdaka Thomas Lyimo 1998. Hata kama huwapendi wamarekani, basi tuwaheshimu tu

FBI walivyomdaka Thomas Lyimo 1998. Hata kama huwapendi wamarekani, basi tuwaheshimu tu

Sidhani kama alifikia level za kuwa bodyguard kabisaa. Kuna mahala nilisona alikuwa personal chef wa Bin Laden. Kikubwa Osama alimkubali saaana huyo mwamba.

Kuna mshkaji mwengine hivi ana sijui ndo huyo huyo. Familia ilipata mpunga wa kutosha wakahama kutoka Zanzibar wakaja kununua uwanja maeneo ya kigogo-Mburahati wakajenga nyumba ya kishua miaka fulani mbeleni baada ya kadhia hiyo kuisha jamaa kufungwa.
Inawezekana walimtosa ndugu Yao..
Hata Osama kuna watu wa karibu walimtosa kupata dau la hela
 
Kumsaidia gaidi wa kiislamu , kwa mchaga ni ndoto
Tuache unafiki wale jamaa ni wapinga Kristo
Na mchaga anahamu na fursa , na sio hela -
Kama wangekuwa wanapenda hela sana , Basi ungekuta ni machangudoa
But ninapitaga sana Moshi , Ni hakuna machangudoa
Moshi gani unaizungumzia wewe au unaizungumzia moshibar ya ukonga? Mji wa Moshi una madanguro na Kuna clubs wanajiuza Hadi mashoga
 
Hata Nelson Mandela alikuwa kwny orodha ya magaidi kwa mujibu wa Report za US na akaondolewa kwny hiyo orodha baada ya kustaafu

inategemea mawazo yako ni huru au yapo 'kwa mujibu '

ukiwa US sasa hivi kutumia Tiktok ni kosa ila kufirana sio kosa japo yote ni mambo binafsi


sio Mimi tu ninaepinga Ubabe wa US …hata Trump kasema akishinda urais anamaliza kwanza vita ndio anaenda kuapishwa
Trump Siyo mtu wa kumwamini yule jamaa ni kinyonga ata Putin alikiri kuwa alikua akimwofia Sana,
 
Huyo Ghailan nakumbika alikamatwa Pakistani, kimsingi alichoreshwa na serikali ya Pakistani baada ya presha ya Marekani kuwa Pak wanaficha magaidi, hawatoi ushirikiano wakutosha, sasa hii ya kukamatwa South, nashangaa

Huyo akiyekamatwa South ni Khalfan Hamis Mohamed sio Ghailan, Ni mtu mwingine, kulikuwa na magaidi Kama wanne waliotoka Zenji waliohusika na tukio hilo
 
Huyo Ghailan nakumbika alikamatwa Pakistani, kimsingi alichoreshwa na serikali ya Pakistani baada ya presha ya Marekani kuwa Pak wanaficha magaidi, hawatoi ushirikiano wakutosha, sasa hii ya kukamatwa South, nashangaa

Huyo akiyekamatwa South ni Khalfan Hamis Mohamed sio Ghailan, Ni mtu mwingine, kulikuwa na magaidi Kama wanne waliotoka Zenji waliohusika na tukio hilo



 
Mzee wangu huyu Hana baya Kwa kweli tumetangazia tangazo lake la maziwa tukapewa packet 2 za maziwa fresh imeisha hiyo anaingiza pesa kupitia watoto wa kimara baruti nikirudigi home mwanangu hujambo imeisha kwasasa maradhi umri umeenda pia
 
Ule uzito wa ule mlipuko sitaweza kuusahau mpaka nakufa.!!!!!!!! Wakazi wa Magomeni watakuwa mashahidi kwenye hili!!!!!!!! Utafikiri lililipuliwa Magomeni!!!!!!!!!!!!!!! Kile kishindo hatari!!!!!!!!!!!!!

What next ndiyo tukajua CIA na FBI ni nani!!!!!!!! Ilala plus Magomeni ule mchakamchaka wake kama movie vile!!!!!!!!!!!!!
Kino hapo tulikimbizana mpk basi,alafu badae tunarudi kuangalia tatizo nini
 
Ni kazi ya ujasusi. Marekani wana majasusi kila sehemu. Na hapa nazungumzia majasusi wale ambao ni sehemu ya hivyo vikundi vya kigaidi. Kwa mfano wanaweza ''kumtongoza'' mjahidina wa Al Shabab, wakampa fedha ndefu, wakamwambia endelee kuishi kwenye hilo kundi huku akijifanya ni mwenzao ili achukuwe siri na mikakati yao. Siri wanazozipata mara kwa mara ndiyo zinasaidia kutoa maonyo kama hayo.
Hamna hiyo habari wewe hao wana satellite wanatuchora tu duniani.
 
TL hakai kimara kona anakaa kimara baruti
Hajawa mzee sana bado anaendelea na pilika zake na le super noah yake
Kwa Mara ya kwanza nimeona post ya raraa reree.
Kila wakati huyu mwamba Ni likes tu auvicheko.
Halafu kumbe Ni jirani yangu huku Kimara!
Sema mwenyewe, tukutana kijiwe kipi hapo baruti?
 
Back
Top Bottom