FBI walivyomdaka Thomas Lyimo 1998. Hata kama huwapendi wamarekani, basi tuwaheshimu tu

Inawezekana walimtosa ndugu Yao..
Hata Osama kuna watu wa karibu walimtosa kupata dau la hela
 
Moshi gani unaizungumzia wewe au unaizungumzia moshibar ya ukonga? Mji wa Moshi una madanguro na Kuna clubs wanajiuza Hadi mashoga
 
Trump Siyo mtu wa kumwamini yule jamaa ni kinyonga ata Putin alikiri kuwa alikua akimwofia Sana,
 
Huyo Ghailan nakumbika alikamatwa Pakistani, kimsingi alichoreshwa na serikali ya Pakistani baada ya presha ya Marekani kuwa Pak wanaficha magaidi, hawatoi ushirikiano wakutosha, sasa hii ya kukamatwa South, nashangaa

Huyo akiyekamatwa South ni Khalfan Hamis Mohamed sio Ghailan, Ni mtu mwingine, kulikuwa na magaidi Kama wanne waliotoka Zenji waliohusika na tukio hilo
 
 
Mzee wangu huyu Hana baya Kwa kweli tumetangazia tangazo lake la maziwa tukapewa packet 2 za maziwa fresh imeisha hiyo anaingiza pesa kupitia watoto wa kimara baruti nikirudigi home mwanangu hujambo imeisha kwasasa maradhi umri umeenda pia
 
Kino hapo tulikimbizana mpk basi,alafu badae tunarudi kuangalia tatizo nini
 
Hamna hiyo habari wewe hao wana satellite wanatuchora tu duniani.
 
TL hakai kimara kona anakaa kimara baruti
Hajawa mzee sana bado anaendelea na pilika zake na le super noah yake
Kwa Mara ya kwanza nimeona post ya raraa reree.
Kila wakati huyu mwamba Ni likes tu auvicheko.
Halafu kumbe Ni jirani yangu huku Kimara!
Sema mwenyewe, tukutana kijiwe kipi hapo baruti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…