Gutierez leo mnashinda.
Hakuna kipindi gutierez yupo kwenye wakati mgumu kama hiki...
imekuwa kama ugonjwa wa moyo ka timu fulani hiviii siitaji utajaza mwenyeweHakuna kipindi gutierez yupo kwenye wakati mgumu kama hiki...
game ya leo kwa mtazamo wangu ni muhimu sana .. ushindi utaipa morali timu regardless which timu tuna kutanayo(deportivo) ambayo inasuasua ... visca el barca ...I will be back soon!
Leo Nou Camp mjeruhiwa mbogo FC Barcelona inawakaribisha timu dhaifu kuliko zote iliyobaki ktk 16teams zaidi ya kujivunia rekodi AC Milan,tukiwa na hasira ya kuchapwa mabao 2-0 na bao 1 kwa kufunga kwa mtindo wa mchezo wa rede kama sio netboli,ila yote 9 kumi ushindi upo leo japo hauji papo kwa papo na haijalishi eidha tutasonga au la! ila FC Barcelona leo anashinda,ntakuja kesho!
Poa nadhani ulipitwa na methali akuanzae!Hands shake Guti...
Kaka mbona kimyaaa! bado nyie sasa na catenaccio yenu Juventus,ujanja kupata na wala ujanja sio kuwahiila Gutierez mie naona hili tatizo la barca kukosa plan B lilianzia kwa guardiola na namna yao ya usajili ndio inasababisha tatizo hilo.unapokutana na timu zinazofunga mlango wa mbele na kukuzunguukia mlango wa nyuma kama waitaliano hutakiwi kucheza mpira wa kushambulia muda wote.unapaswa kupooza mashambulizi ili wajisahau wafungue milango.unatazama mlango upi umefunguka,wa kulia,kushoto au katikati..unapitia pale!hilo ndio tatizo kubwa la barca.sasa hawawezi kucheza mpira huu ninaosema kwa sababu unahitaji defenders zenye uwezo mkubwa wa kuhimili mashambulizi na kutupia mipira ya diagonal ya uhakika huku ukiwa na holding midfielders wenye uwezo wa kushambulia kwa haraka.