FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

-Nimeangalia BBC Swahili na habari za Star Tv sijaona wakitangaza hiyo habari, una uhakika ni kesho?


dah kweli timu hii haina tofauti na Mji Mpwapwa.
kweli wakongwe wao wanakuja kimyakimya pasipo hata kujulikana?

dah nicheke mie kwi kwi kwiiiii
 
Ukiachana na Chelsea na Man City, hakuna club nyingine EPL wenye Beki kama Marc Bartra, sio Man U, Arsenal, Liverpool wala naniiiiii


dobi wa kweli mpe Kaniki...
tutamuona siku akikumbana na Cavani na jeshi lake la Ardhini
 
dah kweli timu hii haina tofauti na Mji Mpwapwa.
kweli wakongwe wao wanakuja kimyakimya pasipo hata kujulikana?

dah nicheke mie kwi kwi kwiiiii

-Hey mzazi mwenzangu huku umekuja kufata nini?
-Nani kakwambia Barca haijatangazwa, watengaza ktk vyombo vingine ila sio Star tv.
-hufai mzee, kalale mzee, ondoka, mzee, Ishia zako mzeeeeeeeee!!!!
 
kwi kwi kwi Mourinho ,juve2012 , zeroseventytwo mje muone chumba cha wagonjwa na wauguzi wakieana pole kama kipindi kileeee cha enzi zile RTD

-Dota, Gang Chomba anakuchokoza. Njoo umuone!!!!
-Gang Chomba mwanangu akija sitaki matani ya uchumba uchumba, hususani wewe na Mourinho.
-Mwanangu bado mtoto ohoooooooooo!!!!!!
 

Mtani kumbe we bado mdogo enh???
 
-Majuzi nimeota Real Madrid anapigwa si chini ya 3 na Atletico Madrid.
 
-Majuzi nimeota Real Madrid anapigwa si chini ya 3 na Atletico Madrid.

Daddy hawa RM watakutia uchizi, UEFA mbona tunabeba pamoja na La Liga, halafu leo usiku saa 3 tutacheza na Seville useme tena hujui time.
 
Tatizo humu hamko sharp ndo maana mm najiendea England.... Mzima daddy? Net inanisumbua

-Am good, hili Jukwaa la Barca halina udaku udaku na majungu.
-England kule maneno mengi harafu hakuna wanachofanya nje taifa lao.
-Kesho nipo Manchester City, nitashabikia Man City coz mpira wanaocheza unasomeka, ni tofauti na Man U.
Umepona Dota?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…