Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
-Nimeangalia BBC Swahili na habari za Star Tv sijaona wakitangaza hiyo habari, una uhakika ni kesho?
dah kweli timu hii haina tofauti na Mji Mpwapwa.
kweli wakongwe wao wanakuja kimyakimya pasipo hata kujulikana?
dah nicheke mie kwi kwi kwiiiii