Hakika atakaa tu...maana na yule Mswidi wao leo hachezipsg leo anakalishwa wana chelsea njoni tushangirie pamoja alau mtoe machungu ya psg
Daddy ndoto zako siyo au ndoto yako itakuwa ni Future tense lol....
Daddy leo tupo uwanjani unaizungumziaje mechi ya leo?
Hakika ataa...na yule Mswidi wao leo hachezi
Aleyn unaniangusha mzee... Hadi sasa hata picha za kiumbe wa ajabu hazipo humu!??? Kuwa fasta kama douta wako basi
Shindeni tu..
Safiii daddy wangu watu ndo sisi namna hii mapicha picha jukwaa Linapendeza .
Aleyn unaniangusha mzee... Hadi sasa hata picha za kiumbe wa ajabu hazipo humu!??? Kuwa fasta kama douta wako basi
Shindeni tu..
-Dota, leo uwepo ktk mechi uangalie jinsi Messi anavyopagawisha watu.
-Bila kumsahau Neymar, hakuna beki wa pembeni wa kuzuia hizi winga.
Sisi tunashinda bwana, sisi siyo kama watoto waliomzunguka refa............lol am sorry my friend.....
Mimi tena daddy siwezi kosa mm penda Barca kama daddy angu.... Leo na Vampire naye atatupia....
Ila PSG ni wazuri jamani....mechi ya leo sio nyepesi
Ila PSG ni wazuri jamani....mechi ya leo sio nyepesi
-Sasa nipo nyumbani, nimetoka katika mihangaiko.
-Nipo macho muda wote kwenye hili jukwaa.
-Na mimi penda sana wewe Dota wangu, juzi ulipotea humu ndani nikakumiss mpaka nikahisi nimepungukiwa na damu mwilini.
jina la vanmpire limeshakufa pale catalunya watu kwanza hufunzwa heshima kwa iyo jamaa yuke respect ule ujinga wa hasira hasira hanao tena na leo atatupia usiwe na wasiMimi tena daddy siwezi kosa mm penda Barca kama daddy angu.... Leo na Vampire naye atatupia....
jina la vanmpire limeshakufa pale catalunya watu kwanza hufunzwa heshima kwa iyo jamaa yuke respect ule ujinga wa hasira hasira hanao tena na leo atatupia usiwe na wasi
-hahahahahahaha
-Umesahau kumwambia Mavampire wapo EPL.