upo mwananguValencia watajuta penalt waliyoikosa
upo mwanangu
Nipo jukwaa lilikuwa limepoza siwaoni washirika kabisa
Huyu Dogo Neymar mjinga kweli, mbwembwe nyingii kisga anaporwa mpira kizembe.
hahahahahahahaha Simba kafungwaaaa!!!!????Tulikuwa nyumbani kwanza...
Yanga kaharibu mood kimtindo ingawaje kuchapwa kwa Mkia kidogo kumeleta ahueni...
Tulikuwa nyumbani kwanza...
Yanga kaharibu mood kimtindo ingawaje kuchapwa kwa Mkia kidogo kumeleta ahueni...