FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

-Dota wangu mjanja mjanja sana kama mama yake yaani.
-Ila mama yake sitaki aje sababu ya watu kama nyie
-Naona mwishoni umeweka vikorombwezo kuhusu mtoto wangu, mambo hayo ndo yanafanya sitaki mke aje huku.

Haaaaa daddy acha unazi bana!!! Shauri yako bora hata huku dady kuliko kule wanaita kitabu uso kama yuko kule mumy watamuiba watoto wa kitabu uso ni balaa, lol
 
Asante sana chebi kwa picha karibu sana humu.....hope leo tunaelekea nusu fainaly bila ubish......
 
Last edited by a moderator:

-Suala la kuwa na Ban ni la kawaida, wanasheria wanajua wanafanyaje kuhusu hilo kwenye mkataba utakaoandikwa.
-Iniesta ni pancha ileeee, sijui kwanini marehemu Tito Vilanova aliruhusu Thiago Alcantara kuondoka.
-Thiago na Rafinha ni zao zuri sana, sasa huyu Luis Erique awaangalie akina Munir na Sandro pamoja na Rafinha tuliowapa ili awakuze.
 
PSG wakiwa mazoezini Camp Nou
 

Attachments

  • 1429629639993.jpg
    95.8 KB · Views: 56
  • 1429629682805.jpg
    65.2 KB · Views: 60
  • 1429629711292.jpg
    63.2 KB · Views: 54
  • 1429629744260.jpg
    137.6 KB · Views: 52

Attachments

  • 1429629855106.jpg
    84.2 KB · Views: 57
  • 1429629949834.jpg
    77.7 KB · Views: 59
  • 1429630036726.jpg
    71.2 KB · Views: 56
  • 1429630059823.jpg
    54.7 KB · Views: 55
Last edited by a moderator:
Hawa cha msingi ni kuwachapa goli la mapema ili kuwavunja moyo chebi
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…