nipoo week end ikoje usikose saa 11 leo kwa europ ni 16:00
nipoo week end ikoje usikose saa 11 leo kwa europ ni 16:00
ucijali tuko pamojaWeekend iko pouwa, dah! Mechi ya leo nahisi nitaikosa kuicheki live maana muda huo ntakuwa kazini lakin ntajitahid niichek online lakini jukwaani hapa ntakuwepo hivyo updates zako zitahitajika sana sana
ucijali tuko pamoja
dua yako makbouli mtoto akililia wembe mpeNawaombea barca wavuke nusu fainali si kwa Kuwa nawapenda bali kwa Kuwa nataka wajitumbukize kwenye mdomo ya R7 kwenye fainali!