FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Nimewasha pump nasubiri tank lijae, likijaa tuu napanda kitandani. Yaani hawa Atletico hawaaaaa, pumbavu sana hawa.
 
Madrid hii yenye majeruhi tungeipata sisi tungeilaza hata 4 pale pale kwao Bernabeu.
 
ALEYN sio 4 kwa gem ile ya real waliocheza tungaliwapata hata mkono kama ile ya 2010

-hahahahahahahaha ile Game kumbw unaikumbuka!!??
-Kuna mwanaume mmoja alkuwa anaitwa David Villa, alinikosha sana ktk umaliziaji kwenye ile Game.
-Mourinho mdomo ulimuisha.
 
-hahahahahahahaha ile Game kumbw unaikumbuka!!??
-Kuna mwanaume mmoja alkuwa anaitwa David Villa, alinikosha sana ktk umaliziaji kwenye ile Game.
-Mourinho mdomo ulimuisha.

Naomba kweli tupewe nyie kwenye draw ya leo
 
-Bayern hawataweza kutupiga kama misimu miwili iliyopita walivyotufanya.
-Tunapaswa kuwa na matokeo mazuri zaidi ili kujilinda huko kwao.
-Na safari hii tunawang'oa
1. Timu haina majeruhi kama kipindi cha nyuma, na ikitokea majeruhi basi wanaoziba nafasi wapo. kipindi kile Messi alikuwa majeruhi japokuwa alilazimishwa kucheza, Beki pia zilikuwa majeruhi na Xavi ndo alianza kuchoka. Msimu huu tupo fiti.
2. Bayern ipo chini ya Pep Guardiola, Guardiola hana mbinu za kumchapa Barca pia Guardiola huwa ni kugeugeu sana ktk mifumo yake, Game yao majuzi tu hapa amebadili mfumo na timu ikawa inacheza kama ilivyokuwa chini ya Heynkess.
3. Munich wana majeruhi mengi, Porto wajinga sana kama Atletico Madrid, pamoja kuwa na majeruhi mengi kwa Real Madrid wakashindwa kuwatoa, ndivyo hivyo hata kwa Porto tena bora ya Porto walipata ushindi kwao ila kwenda German wakapata wenge. Sasa FC Barcelona haitafanya makosa ya kuwachekea hawa Bayern. Ribery, Robben, Bastian n.k wote hawa ni majeruhi ila wataingiingizwa ili kuleta ushindani tuu na kwa uzoefu, na kama mnavyojua mchezaji ambae umri umeenda kisha akawa majeruhi na akarudi uwanjani jinsi anavyokuwa.
4. Hapa atajaza chebi
5. Kipenzi everlenk harafu nimekumiss sanaaaaa!!!
6. MO11
7. Anyone
 
Last edited by a moderator:
-Bayern hawataweza kutupiga kama misimu miwili iliyopita walivyotufanya.
-Tunapaswa kuwa na matokeo mazuri zaidi ili kujilinda huko kwao.
-Na safari hii tunawang'oa
1. Timu haina majeruhi kama kipindi cha nyuma, na ikitokea majeruhi basi wanaoziba nafasi wapo. kipindi kile Messi alikuwa majeruhi japokuwa alilazimishwa kucheza, Beki pia zilikuwa majeruhi na Xavi ndo alianza kuchoka. Msimu huu tupo fiti.
2. Bayern ipo chini ya Pep Guardiola, Guardiola hana mbinu za kumchapa Barca pia Guardiola huwa ni kugeugeu sana ktk mifumo yake, Game yao majuzi tu hapa amebadili mfumo na timu ikawa inacheza kama ilivyokuwa chini ya Heynkess.
3. Munich wana majeruhi mengi, Porto wajinga sana kama Atletico Madrid, pamoja kuwa na majeruhi mengi kwa Real Madrid wakashindwa kuwatoa, ndivyo hivyo hata kwa Porto tena bora ya Porto walipata ushindi kwao ila kwenda German wakapata wenge. Sasa FC Barcelona haitafanya makosa ya kuwachekea hawa Bayern. Ribery, Robben, Bastian n.k wote hawa ni majeruhi ila wataingiingizwa ili kuleta ushindani tuu na kwa uzoefu, na kama mnavyojua mchezaji ambae umri umeenda kisha akawa majeruhi na akarudi uwanjani jinsi anavyokuwa.
4. Hapa atajaza chebi
5. Kipenzi everlenk harafu nimekumiss sanaaaaa!!!
6. MO11
7. Anyone
ALEYN tupo pamoja mwambie ever asitie wasiwasi ale ashibe asubiri tarehe 5/05 aje aone tunavyo mpiga mtu
 
Pia msimu uliopita goal keeper alituuza sana, pia ujio wa rakitic hapo kati na mathieu kwenye defence ni neema kubwa, bayern ni wadhaifu kwa mabeki ila tukiweza kuwadhibiti kwenye wings kwisha habari yao, naomba ALVES gemu limkubaji kama lile la PSG.
 
na pia messi bado alitegemewa kama false nine japo kwa sasa anaingia deep na kuwatengenezea suarez za ney
 
Back
Top Bottom