FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

If Jesus Says Yes, No body can say No.
Nipo njema sana mpaka dakika, nipo tayari kwa afya na kiakili kuwashabikia Atletico Madrid.
Thanks kwa maombi yenu everlenk, Ntunzu, chebi na kaka Mourinho.
 

Attachments

  • 1429721171847.jpg
    1429721171847.jpg
    48.4 KB · Views: 56
Last edited by a moderator:
Kwa sababu ni daddy wangu ngoja niitikie oleeeeeeeeeeeeeeee ila wakifungwa mimi simoo!!!

hahahahahahaha Dota leo ni Shangwe kwa kwenda mbeleeeeeeee, Ronaldo anaaga kombe lingine baada ya kuaga kombe la Mfalme, huu mwaka Ronaldo habebi kitu.
 
Fans wote wa Barca tunataka tukutane na nyie, huoni kama mna kila dalili ya kuaga mashindano?
Mmejitahidi mpaka hapa mlipofikia.

Ndio uache kula vibandani, teh teh teh
Shaka ondoeni, naona magiants wote wa La Liga mnaitaka Juventus kwa sababu ya hofu yenu ya Mkoloni maana mara ya mwisho waliwapiga ngapi vile 7 au 8 on aggregate?
Naona fainali itakua kati ya Juventus na Bayern, maana nyie mshaingiwa na hofu

#ForzaJuve #FinoAllaFine
 
Ndio uache kula vibandani, teh teh teh
Shaka ondoeni, naona magiants wote wa La Liga mnaitaka Juventus kwa sababu ya hofu yenu ya Mkoloni maana mara ya mwisho waliwapiga ngapi vile 7 au 8 on aggregate?
Naona fainali itakua kati ya Juventus na Bayern, maana nyie mshaingiwa na hofu

#ForzaJuve #FinoAllaFine

-Nikishakula home huwa napenda kuongeza kula vitu kama kachori, mishkaki, n.k Turudi kwenye mada.
-Mkoloni alitubahatisha goli 7 sababu ya Majeruhi pia ilikuwa ni kipindi ambacho timu ilikuwa imechoka sana.
-Mpaka sasa hatuna majeruhi na tumekamilika na Iniesta karudi ktk fomu kama unavyomuona, kule mbele mimi sitaki kuongea labda everlenk na chebi waongee.
 
Last edited by a moderator:
Ndio uache kula vibandani, teh teh teh
Shaka ondoeni, naona magiants wote wa La Liga mnaitaka Juventus kwa sababu ya hofu yenu ya Mkoloni maana mara ya mwisho waliwapiga ngapi vile 7 au 8 on aggregate?
Naona fainali itakua kati ya Juventus na Bayern, maana nyie mshaingiwa na hofu

#ForzaJuve #FinoAllaFine

Kumbe anakulaga vibandani ehhh?? Naenda kumsemea kwa mumy.....
 
Humu ndani mbona mpo kimya, mashabiki wa Madrid nini? Mshanikera tayari.
 
Dota, usivuke mipaka. Ukofatilia sana utakosa heshima kwa mzazi wako. Achana na hayo mambo.

Sawa daddy nimekuelewa......

Daddy leo malaika wa magol kalala nini hatuoni magoli kabisa pande zile.......
 
-Nikishakula home huwa napenda kuongeza kula vitu kama kachori, mishkaki, n.k Turudi kwenye mada.
-Mkoloni alitubahatisha goli 7 sababu ya Majeruhi pia ilikuwa ni kipindi ambacho timu ilikuwa imechoka sana.
-Mpaka sasa hatuna majeruhi na tumekamilika na Iniesta karudi ktk fomu kama unavyomuona, kule mbele mimi sitaki kuongea labda everlenk na chebi waongee.
wee muache tu ajifurahishe akili yake mwambie barca hii sio ile ya bayern aliokuja kutupiga nje ndani pale timu ilikua na matatizo kocha alikimbia na mazoea kama unavyo yajua 2 majuruhi tulikua nao 3 kipindi kile alikua ni messi tu ndo anategemewa lazima afunge yeye saivi mziki uliopo achana na siongei sana subiri draw itoke halafu tuje kurudi hapa na ningeomba tuwapate hata madrid vibonde wetu
 
Back
Top Bottom