FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Messi anatafuta mlango wa kutokea

Nitafurahiii Messi akiondoka barca,ni mchezaji mkubwa sana hawezi kudhalilishwa kiasi kile!!!
Habari ndo hiyo
Screenshot_20200817-144252.jpg
 
Usajili uliofanyika kipindi cha nyuma hapo hata sikuuelewa, barca tulikuwa kama Man u kila mchezaji tunamtaka...

walivyomuuza kwa mkopo Cotinho nilijua kabisa hapa kuna kiongozi mmoja mwendawazimu...

Waliuza wachezaji kwaajili ya neymar hatimaye wakamkosa wakaishia kumsajili Griezman nae..

Wamefanya barta trade na juve kumnunua yule mzee... Barca mwaka msimu huu waliamua kifungwa tu wenyewe...
 
Sport director eric abidal na Kocha mkuu queque setien katika kikao lazima mmoja aondoke au wote wasepe
 

Attachments

  • dd0370df-7d97-4abe-bd40-31e8300a3518.jpeg
    dd0370df-7d97-4abe-bd40-31e8300a3518.jpeg
    59.7 KB · Views: 1
Kupigwa nane hakuondoi sifa na uwezo wa fc barcelona,Lionel Messi..hata kama zingekua goli kumi


Kupigwa nane vilevile ni sifa ya Barcelona kwenye Champions league. I hope next season mtapigwa kumi mvunje rekodi yenu wenyewe
 
Ronald Koeman ni wakati wake sasa kutusukia kikosi ...ingekua vizuri tukawazoe wale watoto wa ajax nusu ya timu kwa maana ya mabeki wanne viungo watatu na washambuliaji watatu
 
Ronald Koeman ni wakati wake sasa kutusukia kikosi ...ingekua vizuri tukawazoe wale watoto wa ajax nusu ya timu kwa maana ya mabeki wanne viungo watatu na washambuliaji watatu


Yaani unataka Ajax ndio iwe Barcelona? Mtafungwa hata na Getafe.
 
Yaani unataka Ajax ndio iwe Barcelona? Mtafungwa hata na Getafe.
Wale madogo wazuri +delight huku watamkuta De Jong pale Messi atakua mtu wa kumalizia tu ..lkn kama tukibaki na akina sergio,na suarez,roberto na akina Lenglet,Shakira tumekwisha!
Itapendeza wazamani tubaki na Messi,Puig,Ansu,De Jong,Braithwaite,na Dembele....
 
Wale madogo wazuri +delight huku watamkuta De Jong pale Messi atakua mtu wa kumalizia tu ..lkn kama tukibaki na akina sergio,na suarez,roberto na akina Lenglet,Shakira tumekwisha!
Itapendeza wazamani tubaki na Messi,Puig,Ansu,De Jong,Braithwaite,na Dembele....
Koeman: "Frenkie De Jong has not been playing at his best position here. With me, he played closer to the defense. We will do the best for him."


Koeman: "There are players who have reached a certain age and can't compete at a certain level. But we respect everyone and we will do what's best for the team."


Koeman: "I don't want to take names of players. But we are working together and will take the right decisions."
 
Koeman nafikiri kasaini mkataba wa kueleweka, kwasababu hawezi kumaliza miaka miwili hapo, lazima abebeshwe virago
 
Koeman nafikiri kasaini mkataba wa kueleweka, kwasababu hawezi kumaliza miaka miwili hapo, lazima abebeshwe virago
Next President mwakan anamleta Xavi ,Koaeman atafukuzwa baada ya huyu anayetarajiwa kuwa raisi

Tayari ana jina mfukoni la Xavi
 
Wale madogo wazuri +delight huku watamkuta De Jong pale Messi atakua mtu wa kumalizia tu ..lkn kama tukibaki na akina sergio,na suarez,roberto na akina Lenglet,Shakira tumekwisha!
Itapendeza wazamani tubaki na Messi,Puig,Ansu,De Jong,Braithwaite,na Dembele....
Kaka hii timu unayosema ya madogo wanampiga madrid hata 5. Nakubaliana na wewe, timu ijaze damu changa.
 
Mimi naamini kabisa shida ya Barca kabla ya makocha na wachezaji ipo kwa huyu Bartomeou, jamaa hajui kabisa kuendesha timu.


Bartomew ni undercover kutoka Real Madrid. Yaani Bartomew ni Madridista 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom