FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kocha ndio hovyo timu nyingi tu zina wachezaji average lakini wanafanya vizuri angalia wachezaji wa Liverpool ni was kawaida ila kocha ndio yupo vizuri.
wajuzi wa mambo si ndo wanakwambia huyo kocha ndo legend, anaijua asili ya La masia sijui kitu gan!

Anyway napata notification hapa kocha anamalizia mechi yake ya mwisho then atasahaulika ktk sura ya La masia mbadala wake kapatikana.
 
Inasikitisha team za england ,zimejaza wachezaji wazuri benchi na kuwatoa kwa mkopo wengine wakati Barcelona team nzima ya hovyo kabisa kiufupi ni ugoro kabisa ,hakuna hata mchezaji mmoja anayeweza kucheza first eleven ya man city,Chelsea ,Liverpool kwenye position yoyote .
 
Umeandika hili kishabiki labda, kwani pedri, ansu fati, dembele, etc wanaeza kucheza timu yoyote england tena first eleven ya uhakika sana,
bado dejong mbona ni bora sana mi nadhani ubovu wa kocha ndo unaiua barca basi
 
Barca inahitaji muda kidogo ili kuwa bora tena, pengine kuliko awali, mi nawatabiria makubwa sana mbeleni
 
Mpira tunatawala sana, kufunga sasa ndio mtihani [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Riqui kwanini haingizwi, anajua ku-force sana yule chalii
Huwezi amini, Koeman hamtaki Riqui. Tangu mwanzo wa msimu alisema hana mipango nae, atafute timu nyingine. Koeman ni kiazi kweli kweli.

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…