Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,790
- 2,232
Arteta mbona anafanya vzr acha roho mbaya mkuuuTimu nyingi zinatumia legends ila ni failed projects Zizzou mara ya pili madrid ni failed project, Arteta, lampard, solskjaer, Gattuso pale millan, kenny darglish liverpool, wengi ni failed projects.....Nje ya guardiola ni nani aliefanikiwa mkuu? au Koeman si legend wenu? .....
Ila tumpe muda anaweza fanya vizuri sana japo ligi yao sio ya kusema ni mtu bora sana
Barcelona iligeuka Kuwa NetherlonaAnatuletea timu ya holand
Anafanya vizuri? anauwezo wa kuchukua kombe la ligi, uefa/europa??......level ya arsenal ni kupigania makombeArteta mbona anafanya vzr acha roho mbaya mkuuu
Na nyie barcelona mmeanza habari za DNA? Sawa tunasubiri msije kataana mbeleniWe mpumbavu kweli unajua anachokifanya xavi kwa sasa.
Xavi ana restore our beloved cruyff philosophy ana restore our DNA.
Nenda youtube kacheki training session za barca under Xavi uone jinsi training intensity yetu ilivyoongezeka.
Japo itamchukua mda timu kukaa sawa but barca itarudi tu kuwa timu tishio.
Hater kaa kwa kutulia.
Mkuu huoni anashinda kila game ndio hivyo ssa ameanzaAnafanya vizuri? anauwezo wa kuchukua kombe la ligi, uefa/europa??......level ya arsenal ni kupigania makombe
Barcelona hatujaanza habari za DNA.Na nyie barcelona mmeanza habari za DNA?
Aaah kaa kwa kutulia barca ndo inarudi hiyooSawa tunasubiri msije kataana mbeleni
Wazee wanacheza ila WaPo kimyaaaaDuh, kumbe humu kulikuwa ni kwa Messi tu.
mkuu scores ni ngapi gapi ?Naona Xavi anaijenga timu.. Huyu Depay hafai pale Barca.
Alba na Pique nao wastaafu tu.
Ansu akiachana na majeraha ya mara kwa mara atatisha sana.
Benfica wamekamia...bila bila dk81mkuu scores ni ngapi gapi ?
Kwani kunani humu!?Wazee wa uropaaaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sisi tunatengeneza timu. Tumeanza upya from the scratch. Kwa watoto kama Nico Gonzalez, Pablo Gavira na Yusuf Demir, haya matokeo tunayoyapata sio mabaya. They're doing good. Ni suala la wakati tu!DNA inaanziaga Europa.....
Leo hii hata Benfica anapata matokeo Camp now hahahahaha dah hatari sana
Kwani mlifungwa!? Ngapi!?Sisi tunatengeneza timu. Tumeanza upya from the scratch. Kwa watoto kama Nico Gonzalez, Pablo Gavira na Yusuf Demir, haya matokeo tunayoyapata sio mabaya. They're doing good. Ni suala la wakati tu!
Hatujafungwa ni draw.Kwani mlifungwa!? Ngapi!?
Kwani mechi ya kwanza na benfica barca alifungwa ngapi?DNA inaanziaga Europa.....
Leo hii hata Benfica anapata matokeo Camp now hahahahaha dah hatari sana