Umeona sasa unavyojichanganyaKwahiyo Maradona kupita Barcelona kuna uhusiano gani na Comment yangu?
Nadhani ulikuwa bado hujazaliwa mwaka 1994 Barcelona ikiwa na Maradona wako ilikula Migoli 4 mizito kutoka kwa AC Milan kwenye Fainali ya UCL.
Ndiyo Fainali mbovu kuwahi kutokea.
Naomba uweke hapa takwimu za kombe lenye heshima Kubwa Hispania a.k.a Kombe la Mfalme ama waweza liita Copa Del Rey kama ulivyolitamkamakombe yapi? labda mic mouse cup kama copa del rey, la liga mko nyuma ya Madrid, uefa hamjaifikia Milan, bayern ,liver, kifupi ni timu iliibuka 2006 ghafla baada ya kubahatika kuwa na vipaji ,sasa inarudi ilipotoka before 2006
Barca ndio club iliyotoa wachezaji wengi wa balon'dorUna matatzo wewe
Sema kabla ya 2004 ulikuwa bado unanyonya huko
Hivi unafahamu hata Maradona amekiwasha sana Barcelona au unaongea tu
hata England kombe lenye heshima ni FA ila lenye maana ni la ligi, ndio kama hilo la mfalme huko, huwezisema eti kuchukua kombe la mfalme ni mafanikio kuliko La ligaNaomba uweke hapa takwimu za kombe lenye heshima Kubwa Hispania a.k.a Kombe la Mfalme ama waweza liita Copa Del Rey kama ulivyolitamka
Sasa weka takwimu kati ya Real Madrid na Barcelona aliyetwaa mara nyingi ni nani halafu ukimalza kuweka ukakojoe ulale
Nimefatilia comments zako zoote unaandika UHARO!!Naomba uweke hapa takwimu za kombe lenye heshima Kubwa Hispania a.k.a Kombe la Mfalme ama waweza liita Copa Del Rey kama ulivyolitamka
Sasa weka takwimu kati ya Real Madrid na Barcelona aliyetwaa mara nyingi ni nani halafu ukimalza kuweka ukakojoe ulale
Hoja inapingwa kwa hoja kutukuna haisaidiiNimefatilia comments zako zoote unaandika UHARO!!
Vitoto vya juzi vinakwambia Barca ni timu ya 2006Barca ndio club iliyotoa wachezaji wengi wa balon'dor
Romario - 1
Ronaldo de Lima - 1
Rivaldo - 1
Ronaldinho - 2
Messi - 6
Ni mafanikio ndio ndio maana likaitwa Kombe lenye heshimahata England kombe lenye heshima ni FA ila lenye maana ni la ligi, ndio kama hilo la mfalme huko, huwezisema eti kuchukua kombe la mfalme ni mafanikio kuliko La liga
Kufuatilia Mambo ya siasa Ni kutafuta kujiumiza tu akili na kuuchukia uTanzania wangu, Wacha niishi tu nakuyafurahia yanayonipa furaha lakini sio siasa. Bora niumie sababu Barcelona imefungwa kuliko kujua Kuna fisadi ameiba pesa za walipakodi na hajawajibishwa kwa namna yoyote.Dr Who,
Hamna cha week end au nini , mambo ya michezo iende kwenye sehemu za michezo. Wenzetu wengi wa JF uzalendo uliwashinda na mmeamua kuishi uamishoni (ambako hampigi kura wala hamna fursa hata ya kugombea ubalozo wa nyumba kumi mnasubiri congress iwaokoe) kwa hiyo kwenu kweli kuna week end, sisi tulio amua kufia humu na kuendelea kula sahani moja na mafisadi week end ndiyo siku mbaya kweli maana tunakaa nyumbani nakuona nyumba za mafisadi zikiota kama uyoga wakati wewe uliyeamua kumheshimu mungu na wanadamu wenzio huna hata shilingi mia.
Mpira hata mimi napenda sana lakini haunifanyi niende cafe zaa hizi nianze kujadili kuhusu Arsenal au liverfool. lakini mafisadi wamenifanya nitoe book yangu ingawa nina book mbili tu ili niweze kuwajadili mafisadi ili watuachie na sisi tuanze kuwa na week end
Hoja kama hizi zinanifanye niukubari ushauri wa rafiki yangu anayedai kuwa JF ni ya makuwadi wa mtandao ambao lengo lao kubwa ni kutaka kujua kama wananchi wanaufahamu gani kuhusu madeal yao ili waweze kuyaficha vizuri.
ukiangalia kwenye JF kuna issue nyingi sana ambazo kwa kweli zinatisha lakini watu hawachangii kabisa lakini hii ya Arsenal iliyopostiwa katika sehemu isiyo yake watu wameshaweza kuchangia kibao, sasa sisi tueleweje?
Wana JF tunakuwa kama wabunge wa ccm tunaona issue tunazikimbia na kukimbilia kudai oooh tupewe mafungu ya mjimbo ili na sisi tukawatende wanavijiji wetu
Naomba wanaJF nipate maelezo ya kutosha ya kunifanya niendelee kutoa 0.01% ya mshahara wangu kwenda cafe kujadiliana na wapenda maendeleo wenzangu kwa saa moja na siyo mjadara wa Arsenal Please!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Unajifariji tu. Huo muda ni muda gani. Hivi bado mna ndoto ile Barca ya akina Xavi, Iniesta, Messi and the like itarudi? Sahau sana hilo. Na msimu huu hata nafasi ya Champions league itakuwa ngumu sana labda Europa.Tumedraw na Sevilla jana. For the first time this season, jana tumemzidia mtu tena mbabe. Dembele anafanya kazi nzuri sana. Abde, Gavi na Araujo pia wamekamua sana.
In short, we are on the right track. Itachukua muda kurudi kwenye ubora wetu, but we'll be there!
Basi hapo unajiona boooonge la mchambuzi!Unajifariji tu. Huo muda ni muda gani. Hivi bado mna ndoto ile Barca ya akina Xavi, Iniesta, Messi and the like itarudi? Sahau sana hilo. Na msimu huu hata nafasi ya Champions league itakuwa ngumu sana labda Europa.
Hater huyo.Basi hapo unajiona boooonge la mchambuzi!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mbona ukiachana na real Madrid bado point 5 kukaa top 4 maana aliyeshika nafas ya tatu akipoteza mech 2 hasira za nini sasaUnajifariji tu. Huo muda ni muda gani. Hivi bado mna ndoto ile Barca ya akina Xavi, Iniesta, Messi and the like itarudi? Sahau sana hilo. Na msimu huu hata nafasi ya Champions league itakuwa ngumu sana labda Europa.
😅😅😅 embu respect bas ndo tumaini letu kafika kuurejesha ufalme wa Wana catalunya[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]View attachment 2062608
Mwizi anakimbizwa kimya kimya. Ipo siku atapiga kelele yeye!Tunazidi songa taratibu
Mwizi anakimbizwa kimya kimya. Ipo siku atapiga kelele yeye!