FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Visca el barca
 
Hawa wanakufa nyingi leo hawatoamini
 
Yaani kwamba hivi "siku zote kisu kikali ndiyo hukata nyama". ukisikia kuzaliwa upya (rejuvenation) ndiyo huku sasa. kocha mwny mbinu na ufundi tumepata, tutegemee kuwa na timu Bora zaidi ya Sasa hasa kuanzia msimu ujao ... Mpira wa pasi za rula na magoli umerudi nyumbani... Visca El Barca [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91].
 
Nakubaliana na wewe 100%. Xavi (Xavier) anauwezo huo, kifupi ni Genius wa Mpira.
 
Barca yangu ilikuwa inaniumiza sana ila kwa sasa natembea naringa najua chama limerudi upya
 
What a performance ❤💙 Pedri and Gavi...game changer

Luuk
.. match winner💥💥
 
Kwa games ambazo Luuk de Jong ametuokoa msimu huu, sidhani kama tunampa heshima anayostahili. Hata ile shangilia yake, naona kabisa kuna ujumbe alikua anaufikisha.

Sidhani kama kuna ubaya yule mwamba akipewa angalau dakika 15 kila game. huwa nikiangalia zile cross za Dembele zinavyomiminika, kama huyu mwamba akiwemo basi tunaongea mengine.

Naona Xavi bado hamuamini kabisa, ila tukikamatika anajua jamaa anaweza okoa jahazi.


Kikubwa alichonifurahisha Xavi mpaka sasa kwa upande wangu sio mpira unaopigwa, ni ile mentality waliyonayo madogo sasa hivi. Yaani amewaaminisha kabisa kwamba ushindi ni lazima, na kupambana ni mpaka dakika ya mwisho. Hii ndio Barca tuliyoingojea kwa muda mrefu!
 
This is the team we know!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…