FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

[emoji200]
IMG-20220802-WA0202.jpg
 
Chelsea tunachowafanyia kwenye dirisha hili la usajili hawawezi kutusahau mpaka kifo.
Vitabu vimegoma "kubalansi" kwa sababu ya kukurupuka kwenu! Sema Sasa tuchukue yupi kati ya jong au Auba
 
Vitabu vimegoma "kubalansi" kwa sababu ya kukurupuka kwenu! Sema Sasa tuchukue yupi kati ya jong au Auba
Endelea kujiongopea. Umekaa hapo Tandahimba alafu unadhani unavijua vitabu vya Barca kumzidi Laporta.

Tutauza wachezaji sababu tunacho kikosi kipana sana. Na sio kwa hizo sababu nyingine. Namba tisa peke yake wapo Lewandoski, Auba, Luuk de Jonng, Braithwaite na Depay. Kwanini tusiuze?
 
Endelea kujiongopea. Umekaa hapo Tandahimba alafu unadhani unavijua vitabu vya Barca kumzidi Laporta.

Tutauza wachezaji sababu tunacho kikosi kipana sana. Na sio kwa hizo sababu nyingine. Namba tisa peke yake wapo Lewandoski, Auba, Luuk de Jonng, Braithwaite na Depay. Kwanini tusiuze?
Dah [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakuu hivi sakata la Kounde kusajiliwa kwenye kikosi limekaaje?

Na vipi updates za Auba, anabaki au njia nyeupe kuondoka?
 
Wakuu hivi sakata la Kounde kusajiliwa kwenye kikosi limekaaje?

Na vipi updates za Auba, anabaki au njia nyeupe kuondoka?
Kounde tayari amekua registered Laliga. Anaweza kuwepo mechi ijayo weekend hii.

Auba naona Chelsea bado wanarukaruka, hawajanyoosha maelezo. Sisi tunataka pesa, wao wanataka waweke pesa nusu pamoja Marcos Alonso as part of the deal.

Wakiweka pesa, Auba anaondoka.
 
Kounde tayari amekua registered Laliga. Anaweza kuwepo mechi ijayo weekend hii.

Auba naona Chelsea bado wanarukaruka, hawajanyoosha maelezo. Sisi tunataka pesa, wao wanataka waweke pesa nusu pamoja Marcos Alonso as part of the deal.

Wakiweka pesa, Auba anaondoka.
Chelsea waweke pesa kubadilishana wachezaji sio good sana.


Vipi unakionaje kiwango cha Balde. Anafaa kuwa replacement ya Alba?
 
Chelsea waweke pesa kubadilishana wachezaji sio good sana.


Vipi unakionaje kiwango cha Balde. Anafaa kuwa replacement ya Alba?
Sio mbaya, ila natamani sana tuwe na defenders visiki. Badala ya kuangalia roles zao kwenye kushambulia, tuwe na na watu wapambanaji wa kuzuia mashambulizi kuja kwetu.

Defense ndio inafanya siku tukipoteana tunapigwa nyingi kwelikweli kama zile za Bayern.

Dogo bado umri unaruhusu kujifunza. Ila natamani tupate visiki kwenye defense.

Uko na Dembele na Raphina kwenye wings,bado unataka defenders wapande juu wasaidie mashambulizi? Tunakua exposed!
 
Sio mbaya, ila natamani sana tuwe na defenders visiki. Badala ya kuangalia roles zao kwenye kushambulia, tuwe na na watu wapambanaji wa kuzuia mashambulizi kuja kwetu.

Defense ndio inafanya siku tukipoteana tunapigwa nyingi kwelikweli kama zile za Bayern.

Dogo bado umri unaruhusu kujifunza. Ila natamani tupate visiki kwenye defense.

Uko na Dembele na Raphina kwenye wings,bado unataka defenders wapande juu wasaidie mashambulizi? Tunakua exposed!
Be blessed culer
 
Sio mbaya, ila natamani sana tuwe na defenders visiki. Badala ya kuangalia roles zao kwenye kushambulia, tuwe na na watu wapambanaji wa kuzuia mashambulizi kuja kwetu.

Defense ndio inafanya siku tukipoteana tunapigwa nyingi kwelikweli kama zile za Bayern.

Dogo bado umri unaruhusu kujifunza. Ila natamani tupate visiki kwenye defense.

Uko na Dembele na Raphina kwenye wings,bado unataka defenders wapande juu wasaidie mashambulizi? Tunakua exposed!
Sure mkuu nilimsikia xavi akihojiwa kuhusu usajili wa fullbacks akasema anahitaji natural fullbacks hasa fullback ya kulia kwa sababu dest hayupo kwenye plans zake.Of course kwa uwepo wa dembele na raphinha tunahitaji defensive minded fullback who is good in crossing.Tunatakiwa ku sort out hii issue.
 
Back
Top Bottom