Siku hizi Barca ikikutangulia kupata goli, ndio basi tena huna chako!
Brazaaaaaa waonee huruma, hakuna kitu Barcelona fans wanaogopa kama dude la kuitwaaIkiwa Bayern Munich itamaliza nafasi ya 2 kwenye Bundesliga na Fc Barcelona ikashinda La Liga basi kuna uwezekano mkubwa kwamba Bayern na Barcelona wanaweza Kupangwa kundi moja la UCL msimu ujao... [emoji23][emoji91]
Toa uchawi wako hapa. Bayern kwanza lazima abebe ndoo.Ikiwa Bayern Munich itamaliza nafasi ya 2 kwenye Bundesliga na Fc Barcelona ikashinda La Liga basi kuna uwezekano mkubwa kwamba Bayern na Barcelona wanaweza Kupangwa kundi moja la UCL msimu ujao... [emoji23][emoji91]
Anafail sana mzeeXavi ni very poor kwenye team selection. Haya Lewy kaumia ngoja tuone atampanga nani tisa.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Sasa Bayern abebe ndooo huo si ndo uchawi. Emu mmalizane na Bayern mezani maana uwanjani mnafumuliwa sana malindaToa uchawi wako hapa. Bayern kwanza lazima abebe ndoo.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Achana na Xavi kwanza, hawa Madrid waliwapigaje tano nyie livakuku? Mbona ni wepesi tu?Xavi ni very poor kwenye team selection. Haya Lewy kaumia ngoja tuone atampanga nani tisa.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Sio yakutokea I short tukishinda Leo Madrid hawana Chao tena!Leo tukishinda hii game dhidi ya watani tutawazidi point 12.
Hapo ubingwa utakuwa mkononi labda yatokee ya kutokea tu.
Tafuta barafu upooze makalio, maana sio kwa moto tuliokupelekea leo!Barcenyeto