Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Alafu aondoke kibabeKilichofanyika hapo ni sawa na mtu aje nyumbani kwako awabake wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu aondoke kibabeKilichofanyika hapo ni sawa na mtu aje nyumbani kwako awabake wote
Nina fraha leoAah aah kabisa.
Hawa nyumbu nlijua tunawakanda si chini ya goli 3.
Hii Barca inatisha sana.
Leo cules wote tuna furaha duniani.Nina fraha leo
Kabisa bado liverNi wiki ya visasi,
Bayern
Real madrid
bado nani?
Liverpool zamu yake itafika.
Mkuu hii gemu ndio ilinifanya niichukie liverpool hadi leo, nakumbuka nilikuwa chuo Informatics Udom tena kipindi cha UE aisee hii gemu ilinikata mood kabisa hata ya kusoma, tokea siku hiyo sijawahi ikubali liverpoolYani katika historia yangu ya soka hakuna game roho inaniuma mpaka leo kama ile ya 4-0 Anifield.
Ila naamini kisasi kitalipwa tu.
Kabisa kakaIle gemu iliniumiza mno haitokaa ifutike kwenye kumbukumbu zangu ila ipo siku yao.
Mkuu hii team bado unatembea nayo kama korodani.Roho imeniuma sana kushindwa kuwapiga tano hawa Madridiots. Sio kawaida yetu kuishia nne!
😅😅😅😅😅
Mkuu hupo?Hawa Seville jana Mungu alikuwa nao-mpira unakataa kuingia nyavuni na pressure yote ile-ingekuwa kwetu usukumani lazima tungelivamia goal lao kuitoa hiyo hirizi🙂🙂🙂
The same to me.Mkuu hii gemu ndio ilinifanya niichukie liverpool hadi leo, nakumbuka nilikuwa chuo Informatics Udom tena kipindi cha UE aisee hii gemu ilinikata mood kabisa hata ya kusoma, tokea siku hiyo sijawahi ikubali liverpool
Zamu yao itafikaKabisa kaka
Mapenzi kaka. Ndoa yangu na Barca, ni kifo tu ndio kitatutenganisha!Mkuu hii team bado unatembea nayo kama korodani.
Hongera.
Umemuona jude floppingham?naona mnamwaga radhi
Umemuona jude floppingham?
Pole sana! Tukikutana tena itakuwa super match. Maana hakuna matumizi ya nguvu tena kama dhidi ya Real Madrid.Mkuu hii gemu ndio ilinifanya niichukie liverpool hadi leo, nakumbuka nilikuwa chuo Informatics Udom tena kipindi cha UE aisee hii gemu ilinikata mood kabisa hata ya kusoma, tokea siku hiyo sijawahi ikubali liverpool