FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kweli mkuu ili tuwe katika nafasi nzuri inabidi madrid afungwe au atoe droo. Ila kwa game ilivyo naona wanaweza kushinda

ni kweli mkuu ila furaha imepungua sababu valensia naona kaanza kutepweta
 
Acheni imani potofu nyie, Valencia hapigwi hii Game.
 
Acheni imani potofu nyie, Valencia hapigwi hii Game.

Juve kadroo...Bayern kapigwa huyu Madrid naye hali mbaya yaani Barca tu ndo kashinda katika timu zilizoingia semi finals.
 
hivi Mgomo umeisha ili next week tushinde ligi kabisa
 
Happy Birthday Andrea Iniesta Lujan (Feliz di Andrea Iniesta Lujan) miaka 31.Leo tarehe 11 Mei
 
Tupo Munich sasa, muda wowote kuanzia sasa timu itaenda Allianz Arena kwa ajili ya kufanya mazoezi.
Vamos! Vamos! Vamos Barca!
everlenk, chebi, Mourinho na jackline1.
 

Attachments

  • 1431355596005.jpg
    30.6 KB · Views: 123
  • 1431355626292.jpg
    36.7 KB · Views: 124
  • 1431355642509.jpg
    32.9 KB · Views: 122
  • 1431355667757.jpg
    57.1 KB · Views: 121
Last edited by a moderator:
HII mechi Bayern atataka ku park kwenye goal la Barca,ata commit watu mbele-punde akifanya hivyo huku nyuma kutakuwa na gaps kibao-sipati picha hapo Neymar,Messi na Suarez watamfanya kitu gani? ukitaka kuona end to end stuff basi hii mechi sio ya kukosa kuangalia
 
na wakifanya hivyo ndipo watakapo kula nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…