FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Mchezo utakua mgumu sn Leo ingawa naona nafasi ya Munich ni ndogo sana ktk kwenda fainali kwasababu Munich waliruhusu magoli mengi sn pale camp nou! Munich anaweza kushinda leo lkn sio goli nyingi sn na km itapindua matokeo na Munich kuingia fainali basi huu utakua muujiza Wa mwaka.

Hatuna lingine tunalolijua kwasasa zaidi ya Barca for final match...Barca for UCL Cup..... Karibu ushuhudie mtanange wa nguvu wa Barca akienda fainal.
 
Hatuna lingine tunalolijua kwasasa zaidi ya Barca for final match...Barca for UCL Cup..... Karibu ushuhudie mtanange wa nguvu wa Barca akienda fainal.


Ni kweli mamito. Munich ingekua chini ya Jose Mourinho ningesema Leo Barca atapata shida lkn kwa Pep Guadiora uwezo wake si mkubwa sn hawezi kuisukuma Barc nje ya UCL leo. Yani km atafanya hivyo basi itakua miujiza sn.

Naona fainal Fc Barcelona na Real Madrid. Juve kesho hana chake ata Mourinho anajua hilo.
 
Last edited by a moderator:
Tutampuguzia Madrid magoli ili aongeze tuweze kukutana naye fainali...
 
Ni kweli mamito. Munich ingekua chini ya Jose Mourinho ningesema Leo Barca atapata shida lkn kwa Pep Guadiora uwezo wake si mkubwa sn hawezi kuisukuma Barc nje ya UCL leo. Yani km atafanya hivyo basi itakua miujiza sn.

Naona fainal Fc Barcelona na Real Madrid. Juve kesho hana chake ata Mourinho anajua hilo.

Ntuzu hapa natofautiana na wewe, kesho Madrid anakaa. Kesho itakuwa si mchezo kaka.
 
Last edited by a moderator:
Bayern leo watajitia kushambulia kwa nguvu zote ila hapo ndipo watakapo kula kichapo
 
Mechi ya mwanzo nuer kipindi cha mwanzo alikua anapoteza mda sana alitaka kuifanya mechi itoke droo ili pale Bayern waje kutupiga lakini wapiiii
 
Sasa leo mpira ukitoka tuu secunde haichukui wataurudisha uwanjani lakini hawatoki

tunawapiga mbili za fastafasta alafu tunapiga gonga kisha tunamalizia na mbili baada ya hapo tunawaongezea na kimoja cha kidali poo ili ziwe 8 kabisa
 
Ni kweli mamito. Munich ingekua chini ya Jose Mourinho ningesema Leo Barca atapata shida lkn kwa Pep Guadiora uwezo wake si mkubwa sn hawezi kuisukuma Barc nje ya UCL leo. Yani km atafanya hivyo basi itakua miujiza sn.

Naona fainal Fc Barcelona na Real Madrid. Juve kesho hana chake ata Mourinho anajua hilo.
Fainal ni Barca na Juve babito. . . ...
 
Last edited by a moderator:
Line-up confirmed:
Ter Stegen, Piqué, Rakitic, Sergio, Iniesta, Suarez, Messi,
Neymar, Mascherano, Alba and Alves
 
Nimekosa neno la kukupa, naomba chebi akupe neno.
barcaaa team.jpg
 
Fainal ni Barca na Juve babito. . . ...


Utakubali kesho maneno yangu mamito. Ni Spain tena kwa fainali mwaka huu. Siioni nafasi ya juve kupita kesho kwasababu ata goli moja bila linawabeba Madrid!
 
tumebakiwa na dakika 21 mtanange kuanza kaeni mkao wa kula aleyn everlink PNC1 we are ready we are together
 
tumebakiwa na dakika 21 mtanange kuanza kaeni mkao wa kula aleyn everlink PNC1 we are ready we are together


Guadiora kasema timu Yake itacheza kufa Na kupona ngoja tuone miujiza.
 
Back
Top Bottom