FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Asante Yesu kwa siku nyingine tena nakushukuru wewe Mungu kwa neema yako iliyoweza kunifikisha mpaka leo hii cku ya kuti kavu (bayern) lililo kwenye mnaz linapoenda kuanguka kabisa . AAAMEN
 
Hii mechi ni ngumu sio rahisi kama wengi wetu tunavyoamini,ispokuwa kwa vyovyote Barca atacheza fainal-tatizo linaloonekana inaweza kuwa ndio mechi ya mwisho Pep kuifundisha Bayern-huu uvumi umezagaa sana kiasi huwezi kuu dismiss
 
Hii mechi ni ngumu sio rahisi kama wengi wetu tunavyoamini,ispokuwa kwa vyovyote Barca atacheza fainal-tatizo linaloonekana inaweza kuwa ndio mechi ya mwisho Pep kuifundisha Bayern-huu uvumi umezagaa sana kiasi huwezi kuu dismiss

Hata nami sitegemei urahisi ila naamini Fainali lazima tuingie tuombe Mungu asaidie....
 
Eeeh hao Bayern na Pep wao wapigwe tu, maana hamna namna sasa na mimi nasema wapigwe tu

Bayern sio rahisi kufungwa kihivo... labda Pep atuletee makida.

Naamini kazi iliyoanza Camp Nou inaenda kutimia Berlin.
#ForzaBarca
Pale ghetto kwetu mama... njoo kichwa kichwa urudi na maumivu ya tumbo.

Hii mechi ni ngumu sio rahisi kama wengi wetu tunavyoamini,ispokuwa kwa vyovyote Barca atacheza fainal-tatizo linaloonekana inaweza kuwa ndio mechi ya mwisho Pep kuifundisha Bayern-huu uvumi umezagaa sana kiasi huwezi kuu dismiss

Nataman hata atimuliwe leo kabla ya hii mechi naamini tutashinda bao nyingi zaidi... Pep Ole wake atuletee u-katalunya wake, sisi ni Watoto wa Hitler bhana.
 
Hii mechi ni ngumu sio rahisi kama wengi wetu tunavyoamini,ispokuwa kwa vyovyote Barca atacheza fainal-tatizo linaloonekana inaweza kuwa ndio mechi ya mwisho Pep kuifundisha Bayern-huu uvumi umezagaa sana kiasi huwezi kuu dismiss

Uvumi upo lakini sidhani kama kutolewa na Barça ndo itakuwa kigezo coz Bayern ipo kwenye kipind cha mpitito labda Pep yeye mwenyewe aamue kuondoka ila kama club sidhani ngoja tusubiri game ya leo
 

Baba hii siyo Porto mliyorudisha mara mbili yaaa leo andika maumivu ndo ushaaga UEFA.... Maskini wee UEFA utaingalia kwa majirani zako ndo vile tena The Blue walitoka kitambo
 
Eeeh hao Bayern na Pep wao wapigwe tu, maana hamna namna sasa na mimi nasema wapigwe tu

Naamini kazi iliyoanza Camp Nou inaenda kutimia Berlin.
#ForzaBarca


Mchezo utakua mgumu sn Leo ingawa naona nafasi ya Munich ni ndogo sana ktk kwenda fainali kwasababu Munich waliruhusu magoli mengi sn pale camp nou! Munich anaweza kushinda leo lkn sio goli nyingi sn na km itapindua matokeo na Munich kuingia fainali basi huu utakua muujiza Wa mwaka.
 

Kushinda hawawezi tena nataka Barcelona wawaongezee magoli mengi.
 
Hii mechi ni ngumu sio rahisi kama wengi wetu tunavyoamini,ispokuwa kwa vyovyote Barca atacheza fainal-tatizo linaloonekana inaweza kuwa ndio mechi ya mwisho Pep kuifundisha Bayern-huu uvumi umezagaa sana kiasi huwezi kuu dismiss

Mimi hili nililiona tangu muda, na hata Man City wanajidanganya. Pep sio kocha mzuri sana kama wanavyojidanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…