barca wamepaki basi......
Sielewi ...Kuna haja gani ya kuwatoa Muller & Schweinsteiger?
furaha imenipungua ever kwa kufungwa hii gem tumeruhusu magoli ya kizembe
Always barca hua haina beki nzuri,inajilinda kwa mfumo wa kuposses sana mpira,hiv vermalen stl yuko injury au anasugua bench?
Ebhana weeh nalala na furaha nusu tuuh....! Make barca awajanipeleka kileleni aisei.
Siyo mbaya siku nyingine mshindo tu unamaliza game siku zote si jumapili.....kipind hiki cha pili kilikuwa noma ....tushukuru kwa yote wangu...
Hapo ndo mtakapojua huyu boya amekosa ROHO YA KIJERUMANI na sio kocha mzuri hata kidogo...
Guardiola Ondoka bayern.. HATUKUTAKI
furaha imenipungua ever kwa kufungwa hii gem tumeruhusu magoli ya kizembe
Lile goli alilowafunga Muller sio la kizembe.. ule ndo UJERUMANI..
Hongereni na Poleni pia.
Hapo ndo mtakapojua huyu boya amekosa ROHO YA KIJERUMANI na sio kocha mzuri hata kidogo...
Guardiola Ondoka bayern.. HATUKUTAKI
Uthiku mema ngoja nipambane kuutafuta usingizi...!
Asante nawe pia ulale unono unioteeeee.....lol
Sawa lakini ilikuwa mapema sana angemuacha kwanza ausome mchezo unakwendaje.... Shem hiki kipindi cha pili hali ilikuwa mbaya sana hapa nimechoka utafikiri nilikuwa shughulini...... Lol
Wewe nawe embu tupishe kwanza..... Pole mjerumani wewe ulifikiri hii ni Porto ya kupiga saba?
Niambie kesho tupo pamoja na Juve au kama kawaida yako unapenda ligi na mimi. ......lol
Haya nakuacha unenepe mpnz..
kama kawa kama dawa, mimi Leo ni RMA kwa muda.
ila jana hujapata maumivu ya tumbo, ile ndo Bayern ya Ujerumani na Pale ndio ghetto kwao... lakn daaah
Yupo fit ila sio kiviiile, tunamuacha ili awe fresh kabisa sababu nafasi yake wapo wanaoweza kucheza.
Maana pique anakimbia km amefungiwa jiwe kiunon
Haya bana kwahiyo niandae leso za kukufuta machozi siyo? Mabuluda leo yanaenda finally BTW maumivu tuliyapata wote wewe naona uliamua kukimbia na jukwaa kabisa.