Imekuwa vzur ligi inaendelea ngoja keshokutwa tumpige atletico alaf messi akitupia mbili na ronado asipofunga dhidi ya espanyol kidoogo mambo yatakuwa sawia kiupande wetu barcelona sababu mechi zote zitachezwa mda mmoja saa 2 ucku
Hahahha! Nataman akae mwaka mzma nje,
Wewe ni ant Barca bila ubishi.. ......dua la kuku halimpati mwewe.....MSN for Barca.....vamos MSN
Suarez atakuwepo ktk mechi ya kesho. Ni kweli aliumia ktk mechi kule Ujerumani ila majeruhi yake sio ya muda mrefu. Best Wishez Barcelona!!!
Wanaume wakiwasili Madrid, Kazi ni moja tuu, kubeba kombe!!
ndio manake leo atletico wataipata gudi messi na neymar ku score lazima #varmos barcaWanaume wakiwasili Madrid, Kazi ni moja tuu, kubeba kombe!!
aiss hawa wanaume hii ni jezi yao ya safari....naona wameulamba simple...Wanaume wakiwasili Madrid, Kazi ni moja tuu, kubeba kombe!!
aiss hawa wanaume hii ni jezi yao ya safari....naona wameulamba simple...
kwa saa za bongo ni sa 2 za usiku kwa europ ni 19:00Mke wetu nijuze aisei mechi ya barc vs atltc de madrd saa ngapi leo niko porini leo huku.
kwa saa za bongo ni sa 2 za usiku kwa europ ni 19:00