chiko18
Senior Member
- Jan 6, 2015
- 151
- 106
Imekuwa vzur ligi inaendelea ngoja keshokutwa tumpige atletico alaf messi akitupia mbili na ronado asipofunga dhidi ya espanyol kidoogo mambo yatakuwa sawia kiupande wetu barcelona sababu mechi zote zitachezwa mda mmoja saa 2 ucku
Hzo ndoto za mchana kabisa, yan awaachie mchukue ligi Mkuu na pichichi amwachie hyo m3 mfup, haitowezekana kamwe




