In 6 seasons with Real Madrid Ronaldo won only one la liga.
Only one season on La Liga Vermalean has one liga tittle, without playing a single match to date.
Dada everlenk, mkuu chebi, jembe Aleyn, mheshimiwa gutierez na Barcelona fans wooootee, niwapongeze kwa kuchukua ubingwa wa la liga kwa mwaka 2014-2015. Kwa kweli mlistahili. Namwomba mkuu BAK amwage mapicha hapa ya watu na wachezaji wakishangilia ubingwa. Hongereni sana.
...pole kwa wale wa upande wa pili walikuwa wakifukuza upepo. Pole kwa mwenezi wa Madrid hapa jf bwana Salamander & co.