FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

x7.jpgView attachment 254015
 
Shwari kabisa, shangwe ikaanza wiki iliyopita. Msimu uliopita walibeba kombe nyumbani kwetu, na sisi msimu huu wao ndo wametupatia Ubingwa sisi. Tunawashkuru Atletico, tunawapenda sana.
 

Attachments

  • 1432470456348.jpg
    1432470456348.jpg
    116 KB · Views: 81
Tunapozungumza Tiki taka kwa wachazaji basi jina la kwanza ni Xavi Hernandez, uliutendea haki huu mfumo huu, na ndo mfumo ulioipa Barca mafanikio makubwa sana. Hautasahaulika ndani ya mioyo ya mashabiki wa Barcelona. Nenda kwa amani Xavi. Maestroooooooooo!!!!!
 

Attachments

  • 1432470640116.jpg
    1432470640116.jpg
    90.8 KB · Views: 78
  • 1432470663279.jpg
    1432470663279.jpg
    98.1 KB · Views: 72
  • 1432470681266.jpg
    1432470681266.jpg
    122.9 KB · Views: 73
Legendary Xavi Hernandez!!!
 

Attachments

  • 1432470938222.jpg
    1432470938222.jpg
    75.6 KB · Views: 72
  • 1432470975968.jpg
    1432470975968.jpg
    40.7 KB · Views: 68
Pass Master Xavi Hernandez, hajawahi tokea mpiga pass kama wewe ktk Ulimwengu huu.
 

Attachments

  • 1432471051711.jpg
    1432471051711.jpg
    78.7 KB · Views: 79
Jersey za Ugenini msimu ujao, kwa upande wangu sijazipenda kiviiiiiiiile. Nilitegemea watatuletea pink au hata Black.
 

Attachments

  • 1432471579707.jpg
    1432471579707.jpg
    25.7 KB · Views: 86
Jersey safi sana hii, nimeipenda mnooo. Hongera zetu.
 

Attachments

  • 1432471692103.jpg
    1432471692103.jpg
    24 KB · Views: 93
Jersey za Ugenini msimu ujao, kwa upande wangu sijazipenda kiviiiiiiiile. Nilitegemea watatuletea pink au hata Black.
mhh hzi cjavutiwa nazo mimi bongo ni MNYAMA nina aleji na nguo za njano ila kwa kuwa ni BARCA sina jinsi
 
Msimu uliopita Atletico Madrid alichukua kombe nyumbani kwa FC Barcelona (1-1),msimu huu,FC Barcelona kachukua ubingwa nyumbani kwa Atletico Madrid
 
tarehe kama ya leo na mwezi kama wa leo ila mwaka tofauti Chelsea alikula 5 kwa bila dhid ya BARCELONA na kipigo cha 5 tushampiga mara 2 sema hyo mara ya pili tulimpiga 5 kwa 1
 
tarehe kama ya leo na mwezi kama wa leo ila mwaka tofauti Chelsea alikula 5 kwa bila dhid ya BARCELONA na kipigo cha 5 tushampiga mara 2 sema hyo mara ya pili tulimpiga 5 kwa 1[/QUOTE

Wadau wote wanaufahamu MARA ya mwisho chelsea ilimliza barca nyumbani kwao nusu fainali ya UEFA na kuna goli la Torres lenye thamani ya millioni 50! Chelsea ndio wababe pekee ambao messi hajawahi kuziona nyavu zake! Pia enzi za Ronadinho barca alicheza kigezo kichapo cha 4-2 darajani kwenye uefa ngazi ya makundi, mpaka Ronadinho akaamua kukata viuno uwanjani!
 
tarehe kama ya leo na mwezi kama wa leo ila mwaka tofauti Chelsea alikula 5 kwa bila dhid ya BARCELONA na kipigo cha 5 tushampiga mara 2 sema hyo mara ya pili tulimpiga 5 kwa 1[/QUOTE

Wadau wote wanaufahamu MARA ya mwisho chelsea ilimliza barca nyumbani kwao nusu fainali ya UEFA na kuna goli la Torres lenye thamani ya millioni 50! Chelsea ndio wababe pekee ambao messi hajawahi kuziona nyavu zake! Pia enzi za Ronadinho barca alicheza kigezo kichapo cha 4-2 darajani kwenye uefa ngazi ya makundi, mpaka Ronadinho akaamua kukata viuno uwanjani!

mkuu ile ilikuwa droo au wewe umesahau goli la iniesta mwaka 2009 nusu fainal pale darajani ingawaje nayo ilikuwa droo ila 5 utalipa lini mkuu?
 
tarehe kama ya leo na mwezi kama wa leo ila mwaka tofauti Chelsea alikula 5 kwa bila dhid ya BARCELONA na kipigo cha 5 tushampiga mara 2 sema hyo mara ya pili tulimpiga 5 kwa 1
ilikuwa chini ya kocha Luis Van Gaal Barca,wakati huo kuna kina Guardiola,Enrique,Figo,Dani Garcia Lara,Rivaldo,Frank na Ronard de Boer mapacha hao,Reiziger,Bogarde,Zenden,dah lakin i Van Gaal kwa waholanzi na kila anapoenda alikuwa anampa mholanzi ukepteni,hadi kina kluivert walipita wakati wake pale nou camp,hiyo mechi nakumbuka babayaro alikula red card kwa faulo nadhani vs Figo,huku Rivaldo akiapa anastaafu mpira ikiwa Chelsea itawatoa licha ya kutangulia kuongoza kwa tore andre flo na kushinda 3-1 kule darajani.
 
Barca ubingwa muhimu pia hongera kwa sevila
 
UEFA Champions League most successful club Real Madrid from Spain
Cup Winners Cup most successful club FC Barcelona from Spain(is done halipo tena kwahiyo Barca rekodi yake imekamilika haitafikiwa)
UEFA Cup or Europa League most successful club FC Sevilla from Spain
Gang Chomba upo na AC Milan wafuata upepo wao kila kitu wanashika nafasi ya pili kimafanikio kuanzia Internationals continent cup, UEFA Champs ligi hadi Serie A hamna hata 1 mnalojivunia most successful,hii ndio Spain imedhihirisha ubora wake makombe yote matatu sasa yamebaki mawili klabu zake ndizo zenye mafanikio ya kuongoza kubeba mara nyingi.
 
uefa champions league most successful club real madrid from spain
cup winners cup most successful club fc barcelona from spain(is done halipo tena kwahiyo barca rekodi yake imekamilika haitafikiwa)
uefa cup or europa league most successful club fc sevilla from spain
gang chomba upo na ac milan wafuata upepo wao kila kitu wanashika nafasi ya pili kimafanikio kuanzia internationals continent cup, uefa champs ligi hadi serie a hamna hata 1 mnalojivunia most successful,hii ndio spain imedhihirisha ubora wake makombe yote matatu sasa yamebaki mawili klabu zake ndizo zenye mafanikio ya kuongoza kubeba mara nyingi.

viva barca
 
Back
Top Bottom