Jack Daniel's
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 1,008
- 835
kila mchezaji sasa hivi ni tatoo tu!duh!
Nafikiri huwa wanatoa kwa wote...
Otherwise wataangalia assists...
Karibia wote aisee
Topscore hawanglii assist so n both neymer, messi n ronaldo ndo top score
halafu ameweka mpira tumboni kama anakamimba hivi,xavi nampendaga
Furaha kubwa Xavi kamaliza kwa heshima zoteee
Ndo maana yake anatupa ujumbe kashamshibisha mkewe. .....
Kuna ligi/mashindano huwa wanaangalia assists...
Ndio maana nilivyoandika nimeweka kwanza wote watapewa then nikagusia hilo la assists maana sijui rules za UEFA zipo vipi..
Yap n kweli ila Uefa haipo ivyo so wote n top scorer
ha ha ha ha ha ha ha ha ha haSiku nyingine mtani akiona kuna mtu anamtishia nyau asione aibu kumsemelea Catalan.
uzeeni sijui itakuwaje huko mbele kama wanachora kweli
Blatter mwenyewe ana tatoo,
Mtani naona umefurahi mchepuko kuwa bora kuliko mume teeeehe teeehe ...... Hongera kwa triple cup
ngoja nimsake google na youtube!lol siamini!!!
ngoja nimsake google na youtube!lol siamini!!!