Hahaaaa sina uhakika nilisikia watu wanasema, kwani we hupendi tatoo
FIFA huwa inatumia sheria ya number of assists kutoa zawadi ya mfungaji bora kama wachezaji wakifunga idadi ya magoli...
Hii ya UEFA ngoja nifuatilie rules zao...
bora neymar kuliko penadoTop scorer Neymar wana angalia minutes played so list n neymer ronaldo den messi
bora neymar kuliko penado
Kuna mdau kwenye uzi wa Juve anadai leo Blatter hayupo kwenye tuzo za kutoa kombe hili je ni kweli wadau. Mbona kama nimemuona?
Kuna tukio naona Gerald Pique anakata nyavu za golini kwa mkasi.muda huu sijaelewa kwa nini!
Sasa naachia na nyagi juu. Madrid nidhamu ishike hatamu sasa.
nazipenda zile zinazofutika halafu zisiwe nyingi kama hao wachezaji banah!mpaka uchafu inaonekana,utadhani ni Lil wizzy
Top scorer Neymar wana angalia minutes played so list n neymer ronaldo den messi
Nahic kwa mtoto wa kike hapendezi akichafuka tatoo mwili mzima tofauti na mwanaume. Ila za Lil Wizzy zimezidi sidhani kama kuna sehem ya mwili wake hamna tatoo.
Hakuna aisee!yule mwili wote una tatoo tu!christina millan anaweza duh!
BAK muda wa kuminyaaa.......plizzzzzzx
Raha kamili SIFA THABITIFC Barcelona...!
Raha kamili SIFA THABITI