FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FIFA huwa inatumia sheria ya number of assists kutoa zawadi ya mfungaji bora kama wachezaji wakifunga idadi ya magoli...

Hii ya UEFA ngoja nifuatilie rules zao...

Top scorer Neymar wana angalia minutes played so list n neymer ronaldo den messi
 
Kuna mdau kwenye uzi wa Juve anadai leo Blatter hayupo kwenye tuzo za kutoa kombe hili je ni kweli wadau. Mbona kama nimemuona?

Kuna tukio naona Gerald Pique anakata nyavu za golini kwa mkasi.muda huu sijaelewa kwa nini!

imekuwa kama desturi kwake kwan mara kibao hufanya hivyo labda cjui ndo maabara za akina laporta rosell bartemeo faus na wanakatalunya wote
 
nazipenda zile zinazofutika halafu zisiwe nyingi kama hao wachezaji banah!mpaka uchafu inaonekana,utadhani ni Lil wizzy

Nahic kwa mtoto wa kike hapendezi akichafuka tatoo mwili mzima tofauti na mwanaume. Ila za Lil Wizzy zimezidi sidhani kama kuna sehem ya mwili wake hamna tatoo.
 
Nahic kwa mtoto wa kike hapendezi akichafuka tatoo mwili mzima tofauti na mwanaume. Ila za Lil Wizzy zimezidi sidhani kama kuna sehem ya mwili wake hamna tatoo.

Hakuna aisee!yule mwili wote una tatoo tu!christina millan anaweza duh!
 
Anti barca wako wapi sijawasikia neno lao la kusema uefalona na refa dakika zote zile alizo ongeza daah
 
Respect kwake xavi hernandez anaondoka camp nou roho safi kabia heshima kwako the real legend
 
LOL! Uliminya nanihii 🙂🙂 niliangalia dakika 30 za kwanza tu nilikuwa na family commitments zilizosababisha nishindwe kuangalia mechi yote ila kwa kutotaka kumiss uchawi wa Messi nimeirekodi mechi yote nitaangalia baadaye leo. Nilitaka sana Juventus washinde si unajua tena mambo ya kushabikia underdog. Hongera kwa ushindi wa mchepuko wako ila Juventus wamewatoa kamasi nyembamba.

NB: Kama ningekuwa naangalia ningeminya ili BARCA wakose.


BAK muda wa kuminyaaa.......plizzzzzzx
 
Tunataka mpira uwe na entertainment factor usije kuwa kama F1 ya sasa-tunaomba Benetez ajitahidi angalau ni losing battle kuisuka upya Madrid-atoe kipaumbele hasa hasa jinsi ya ku nullify counter attacking threat ya barca-bila hivyo hizi mtu 3 zikija mithili ya Tomahawk cruise missiles-zita inflict damage kubwa sana. Mpira wa jana kulikuwa na nerves kiasi magoli ya wazi yalikoswa-Juve were lucky a nerveless Barca would have put half a dozen past them
 
Back
Top Bottom