Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
tatizo lako chomba una maneno ya dharau kupita kiasi juzi uliongea kitu ulisema sijui niende nikachambe ulijuaje kama mii nimekunya hapa tunaongelea sport utani usipitilize mpaka sisi tunaingia jikwaa lenu kule lakini hatuongei maneno yasiyo na maana wala hatumkwaruzi mtu wee una maneno ya kejeli ila kama nimekuchoma basi samahani isiwe tabu mkuu ila lugha mzuri ndio mwendelezo wa jukwaa letu na ukisema hucomment chochote hapo itakua umenuna na hapindezi mkuu comment zako ndio mwendelezo wa jukwaa letu dont mind hapa tunapoteza mda tuu hunijui sikujui peace n love
huyo mzee wa vichapo timu yake acmilan na mara ya mwisho ilipigwa 4 kavu na BARCAOkey okey!! Hata aongee vipi haitoondoa uchungu wa zile bao 4 aisee, daah mie ningekuwa yeye ningejiban kwenye uzi huu nisingekanyaga tenaaaaa!!
penda sana wewe mama barcelona kwa story zako ha ha ha ha haHiyo ya kombe la dunia ilikuwa 2006, ndio naanza kuangalia mpira maana nyumba nzima walikuwa wanaangalia, sasa mie hata faulo siijui ni nini mara naona mtu anataka kufunga mara refa anapuliza firimbi baasi naanza maswali na kulaumu, naelekezwa hata sielewi, na nilikuwa nashangilia kila goli haijalishi ni la timu gani, naambiwa chagua timu ndio ushabikie lasivyo unakwenda kulala!, basi ilikuwa timu inayoshinda ndio naishabikia, kesho ikifungwa nahamia nyingine iliyoshinda, nilikuwa namkera kaka anatamani anifinyangefinyange.
halafu mkuu hapa hatuna uadui...haya ni malumbano tu ya Soka, na bila vijembe na kebehi kwa mpinzani wako basi Soka linakuwa halina ladha.
na ndio maana watu kama Gutierez, aleyn na PNC1 huwezi kukuta wanatoa agizo kama ulilotoa wewe mkuu, coZ wanaelewa utani wa mpira ulivyo.
lakini inaonesha wazi kuwa nimekukwaza na huelewi kuwa ya mipira yanaishia kwenye mipira...so naomba uniwie radhi na hutoona nikipost kitu kwenye jukwaa lako bosi.
tatizo lako chomba una maneno ya dharau kupita kiasi juzi uliongea kitu ulisema sijui niende nikachambe ulijuaje kama mii nimekunya hapa tunaongelea sport utani usipitilize mpaka sisi tunaingia jikwaa lenu kule lakini hatuongei maneno yasiyo na maana wala hatumkwaruzi mtu wee una maneno ya kejeli ila kama nimekuchoma basi samahani isiwe tabu mkuu ila lugha mzuri ndio mwendelezo wa jukwaa letu na ukisema hucomment chochote hapo itakua umenuna na hapindezi mkuu comment zako ndio mwendelezo wa jukwaa letu dont mind hapa tunapoteza mda tuu hunijui sikujui peace n love
huyo mzee wa vichapo timu yake acmilan na mara ya mwisho ilipigwa 4 kavu na BARCA
Sasa ndio stress zake anamalizia kwa mashabiki wa barca!!! Kwani mashabiki ndio waliwafunga?
Gang Chomba anajuta kuwa milan sababu tz yuko peke yake wenzake wote wamekuja camp nou ila sasa yy anajifanya alikunywa maji ya bendera ILA.ANAPASWA IHESHIMU BARCA KAMA.MWANAUME WA ULAYA NA AMKUBALI.KING ILI AWEZE ISHIMAISHA YA.KUTOKUWA NA PRESHA
buuuuuuu Gang Chomba et umenuna mwanaume hanuni unaacha kuwanunia milan.wanaokuangusha unainunia barca ha ha ha ha ha pole mwaya toto zee ndio uhame huko milan kwa wazee
wewe mpira umeanza kuuangalia 2006...
nenda youtube kisha andika uefa champions league final 1994 kisha ukipata majibu uje unifuate.
nawe utakuwa na hadhina yako juu Mbinguni.
mbona huelewek mzee wa sosuolo uliyepigwa 4 bila na bernad vp kuhusu hilo unalijuawewe mpira umeanza kuuangalia 2006...
nenda youtube kisha andika uefa champions league final 1994 kisha ukipata majibu uje unifuate.
nawe utakuwa na hadhina yako juu Mbinguni.
kama unaupenda mpira basi wewe ni shabiki wa AC Milan...
unamjuwa Axel Witsel?
ha ha ha ha ha ha ha ha ha wewe Gang Chomba kama hujui atoto ndiye MAMAA BARCELONAHahahaaaaa!!! Karibu chama kubwa, huku no stess men!! Usitafute visingizio tumewagaragaza tu hilo ndilo linajulikana, hayo ya enzi za mwl mie hayanihusu utamalizana na wenzio huko.
Hata mie nimeligundua hilo, si unajua watu wakizeeka wanarudia utoto!!
ha ha ha ha ha ha ha ha ha wewe Gang Chomba kama hujui atoto ndiye MAMAA BARCELONA
Tena kwa barca hata sipindui, so asiniletee siasa za siasa hapa na story za zilipendwa!!
huyu Gang Chomba uzee unampeleka pabay SS NDIO BARCA MIAMBA YA KATALUNYA