Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
tatizo lako chomba una maneno ya dharau kupita kiasi juzi uliongea kitu ulisema sijui niende nikachambe ulijuaje kama mii nimekunya hapa tunaongelea sport utani usipitilize mpaka sisi tunaingia jikwaa lenu kule lakini hatuongei maneno yasiyo na maana wala hatumkwaruzi mtu wee una maneno ya kejeli ila kama nimekuchoma basi samahani isiwe tabu mkuu ila lugha mzuri ndio mwendelezo wa jukwaa letu na ukisema hucomment chochote hapo itakua umenuna na hapindezi mkuu comment zako ndio mwendelezo wa jukwaa letu dont mind hapa tunapoteza mda tuu hunijui sikujui peace n love
poapoa.