FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

tatizo lako chomba una maneno ya dharau kupita kiasi juzi uliongea kitu ulisema sijui niende nikachambe ulijuaje kama mii nimekunya hapa tunaongelea sport utani usipitilize mpaka sisi tunaingia jikwaa lenu kule lakini hatuongei maneno yasiyo na maana wala hatumkwaruzi mtu wee una maneno ya kejeli ila kama nimekuchoma basi samahani isiwe tabu mkuu ila lugha mzuri ndio mwendelezo wa jukwaa letu na ukisema hucomment chochote hapo itakua umenuna na hapindezi mkuu comment zako ndio mwendelezo wa jukwaa letu dont mind hapa tunapoteza mda tuu hunijui sikujui peace n love


poapoa.
 
Okey okey!! Hata aongee vipi haitoondoa uchungu wa zile bao 4 aisee, daah mie ningekuwa yeye ningejiban kwenye uzi huu nisingekanyaga tenaaaaa!!
huyo mzee wa vichapo timu yake acmilan na mara ya mwisho ilipigwa 4 kavu na BARCA
 
Hiyo ya kombe la dunia ilikuwa 2006, ndio naanza kuangalia mpira maana nyumba nzima walikuwa wanaangalia, sasa mie hata faulo siijui ni nini mara naona mtu anataka kufunga mara refa anapuliza firimbi baasi naanza maswali na kulaumu, naelekezwa hata sielewi, na nilikuwa nashangilia kila goli haijalishi ni la timu gani, naambiwa chagua timu ndio ushabikie lasivyo unakwenda kulala!, basi ilikuwa timu inayoshinda ndio naishabikia, kesho ikifungwa nahamia nyingine iliyoshinda, nilikuwa namkera kaka anatamani anifinyangefinyange.
penda sana wewe mama barcelona kwa story zako ha ha ha ha ha
 
halafu mkuu hapa hatuna uadui...haya ni malumbano tu ya Soka, na bila vijembe na kebehi kwa mpinzani wako basi Soka linakuwa halina ladha.

na ndio maana watu kama Gutierez, aleyn na PNC1 huwezi kukuta wanatoa agizo kama ulilotoa wewe mkuu, coZ wanaelewa utani wa mpira ulivyo.

lakini inaonesha wazi kuwa nimekukwaza na huelewi kuwa ya mipira yanaishia kwenye mipira...so naomba uniwie radhi na hutoona nikipost kitu kwenye jukwaa lako bosi.

buuuuuuu Gang Chomba et umenuna mwanaume hanuni unaacha kuwanunia milan.wanaokuangusha unainunia barca ha ha ha ha ha pole mwaya toto zee ndio uhame huko milan kwa wazee
 
Last edited by a moderator:
tatizo lako chomba una maneno ya dharau kupita kiasi juzi uliongea kitu ulisema sijui niende nikachambe ulijuaje kama mii nimekunya hapa tunaongelea sport utani usipitilize mpaka sisi tunaingia jikwaa lenu kule lakini hatuongei maneno yasiyo na maana wala hatumkwaruzi mtu wee una maneno ya kejeli ila kama nimekuchoma basi samahani isiwe tabu mkuu ila lugha mzuri ndio mwendelezo wa jukwaa letu na ukisema hucomment chochote hapo itakua umenuna na hapindezi mkuu comment zako ndio mwendelezo wa jukwaa letu dont mind hapa tunapoteza mda tuu hunijui sikujui peace n love

Gang Chomba anajuta kuwa milan sababu tz yuko peke yake wenzake wote wamekuja camp nou ila sasa yy anajifanya alikunywa maji ya bendera ILA.ANAPASWA IHESHIMU BARCA KAMA.MWANAUME WA ULAYA NA AMKUBALI.KING ILI AWEZE ISHIMAISHA YA.KUTOKUWA NA PRESHA
 
Last edited by a moderator:
huyo mzee wa vichapo timu yake acmilan na mara ya mwisho ilipigwa 4 kavu na BARCA

Sasa ndio stress zake anamalizia kwa mashabiki wa barca!!! Kwani mashabiki ndio waliwafunga?
 
Sasa ndio stress zake anamalizia kwa mashabiki wa barca!!! Kwani mashabiki ndio waliwafunga?


wewe mpira umeanza kuuangalia 2006...
nenda youtube kisha andika uefa champions league final 1994 kisha ukipata majibu uje unifuate.
nawe utakuwa na hadhina yako juu Mbinguni.
 
Gang Chomba anajuta kuwa milan sababu tz yuko peke yake wenzake wote wamekuja camp nou ila sasa yy anajifanya alikunywa maji ya bendera ILA.ANAPASWA IHESHIMU BARCA KAMA.MWANAUME WA ULAYA NA AMKUBALI.KING ILI AWEZE ISHIMAISHA YA.KUTOKUWA NA PRESHA


kama unaupenda mpira basi wewe ni shabiki wa AC Milan...
 
Last edited by a moderator:
wewe mpira umeanza kuuangalia 2006...
nenda youtube kisha andika uefa champions league final 1994 kisha ukipata majibu uje unifuate.
nawe utakuwa na hadhina yako juu Mbinguni.

Hahahaaaaa!!! Karibu chama kubwa, huku no stess men!! Usitafute visingizio tumewagaragaza tu hilo ndilo linajulikana, hayo ya enzi za mwl mie hayanihusu utamalizana na wenzio huko.
 
wewe mpira umeanza kuuangalia 2006...
nenda youtube kisha andika uefa champions league final 1994 kisha ukipata majibu uje unifuate.
nawe utakuwa na hadhina yako juu Mbinguni.
mbona huelewek mzee wa sosuolo uliyepigwa 4 bila na bernad vp kuhusu hilo unalijua
 
kama unaupenda mpira basi wewe ni shabiki wa AC Milan...

sasa wewe Gang Chomba mara hii unaanza kulazmisha watu kuwa ni ac milan ha ha ha ha ha ha ha ha SASA NIMEAMIN UGONJWA UNAOKUSUMBUA UNAITWA MESSI MAGICIAN
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa!!! Karibu chama kubwa, huku no stess men!! Usitafute visingizio tumewagaragaza tu hilo ndilo linajulikana, hayo ya enzi za mwl mie hayanihusu utamalizana na wenzio huko.
ha ha ha ha ha ha ha ha ha wewe Gang Chomba kama hujui atoto ndiye MAMAA BARCELONA
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom