Leo ni BARCELONA VS MANCHESTER UNITED na tutawafunga zaid ya bao 2 hlo halipingiki huku mastaa kibao upande wa barca wakikosekana kama DAN ALVES BRAVO MASCHERANO NA KINGGG MESSSSSI
We nawe!! Mmeondolewa kwenye nini vile?
sisi barcelona sio wapenz wa mabonanza tuwekee uefa alaf tuitie timu za epl uone moto
Tunasambaratisha huku tunakuangalia usoni, hizo bonanza tunawaachia wenye stress wajifariji nazo kidogo.
sisi barcelona sio wapenz wa mabonanza tuwekee uefa alaf tuitie timu za epl uone moto
Tunasambaratisha huku tunakuangalia usoni, hizo bonanza tunawaachia wenye stress wajifariji nazo kidogo.
Kichapo ni kichapo tu haijalishi.......haya nilitaka mkuje mmesusa sana Nyumba yenu.....
man u vs psg ngap ngap??
Nilimuuliza swali hata hakunijibu
man u vs psg ngap ngap??
Swali gani?Nilimuuliza swali hata hakunijibu
hana ishu huyo mfamaji
Man U vs Barcelona
Chelsea vs Barcelona ilikuwaje????
Swali gani?
Mfamaji ni nyie mpka mmekimbia jukwaa ila msijali hii Nyumba yangu ndogo nitakuwa napita pita kuwachangamsha.....
daaah everlink mbona sikuelewi sister leo huku kesho kule hebu tupe msimamo wako pnc na broo aleyn hebu nisaidieni kuhusu dada eva