Asante mamito.
Afuu umebadilikaa duuu
Hahahha mamito Am red au niendeleee kunywa wine tu......
Hahahha mamito Am red au niendeleee kunywa wine tu......
Eti mna biashara gani humu? Hamieni tu chama kubwa muondokane na zile stress
Ahahahahahaha umempiga la wapi sasa?
Hahahaaaa kuwa red moja kwa moja my love
Ooooh kumbe isue ni pages eti? Vipi hali ya njia kuu yako? Mshatoka icu?
Sisi tuko vizuri sana hapa ni mbele kwa mbele kama chama lako.....
Sisi ni mapachaaaa
Santeeeeee mumy hii buku 7 tuliyopewa haijaisha tu.....m
Sie haturogi ni ushindi tu, uchawi anaujua shetani tu, na nyie ndio mashetani wenyewe.
Baba yenu lvg
Njoo pm nikupe zawad
anza ww