FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

On my view kwa sasa Neymar,Muller na Lewandoski wako kwenye level moja.Neymar amepata advantage sana baada ya Messi kuumia

hapo umeongea mkuu,ngoja leo tumshuhudie magic LM10 mtoto wa kiArgentain akiwasumbua mabeki wa wa Roma,
 
Ninachojua ni.kwamba Neymar hajaiangusha bascelkn Mess ni wa sayari nyingine
 
sawa kabisa, ana kila sifa ya striker. kitu kingine anabidii sana na nidhamu yake imekuwa nzuri sana.

Utofauti wa Neymar kwa sasa ni kwamba ni MTU aliyepevuka kisoka

Hili nililiona tu alivyonyoa nywele zake alizozipenda

Kwanini nimesema nywele na si uchezaji wake ??

Nywele kwa Neymar kilikuwa kitu mzigo coz pengne alitumia muda mwingi saana kulinda nywele kuliko kulinda Mpira ukiwa mguuni hahahahaha its like joke but kuna message hapa

Ney wa sasa anataka kuonyeshe ulimwengu kuwa kapevuka na anauchu wa kutaka mafanikio

Ukitaka kujua ukuaji wake angalia hata ushangiliaji wake kwa sasa ni kiutu uzima

Mapito aliyopitia nadhani yamemfanya kujitambua yeye ni Nani na anatakiwa afanye nini

Mfano Red aliyoipata kwa kupigana na mchezaji wenzie wakati akiwa na taifa lake Brazil ilimpa fundisho
Comments kutoka kwa wachezaji wakongwe mfano Xavi alivichukulia uzito

Pia tulizoea Ney amejitambua zaidi kuumia kwa Messi
Anyway ni katka uchache huyo but kifupi kabarehe kisoka

Ujio wa Messi hautampoteza Ney bali atahit zaid ikumbukwe kuwa hawa watu wawili wanaelewana zaid kuliko wanavyoelewana Suarez na Neymar na ndo maana hata magoal ya msimu uliopita ya Neymar mchango mkubwa alikuwa na Messi (Assists)
 

Mkuu upo vzur kiuchambuz sema tatzo la wanabarca wanajaa humu had tushinde tukifungwa wengi hawaonekani
 
Mkuu upo vzur kiuchambuz sema tatzo la wanabarca wanajaa humu had tushinde tukifungwa wengi hawaonekani

Hahahaha ukiona MTU anasubiri team ishinde ndo aonekane basi huyo si mudau wa soka japokuwa naye ni shaki wavumilie mkui
 
like kwako mkuu. zile nywele kama japanese cartoons zilifanya watu tusimchukulie serious. kinaonekana kitu kidogo lakini kinamadhara. naona washauri wake waliliona hilo. Neymar na Messi wanaelewana sana ila hakuna kama Neymar na Suarez wangeelewana kiasi walichoonyesha.
 

True kabisa sasa hivi tunamwangalia Ney halisi anayejua soka na si kuangalia Nywele zake kama kivutio
 
Ninachojua ni.kwamba Neymar hajaiangusha bascelkn Mess ni wa sayari nyingine
toka messi aumie nadhani hatujapoteza mechi. tulipoteza kwa sevilla na celta. japo ya sevilla sina uhakika kama alikuwepo. nilichommiss messi ni kule kushinda 4, 5 hadi 6 na kandanda lake.
 
Fc Barcelona vs As Roma Leo SAA 4:45 kwa mida ya huko nchini kwenu Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…