Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
ht 2-0. ila naona Matthieu mpira umemgomea . wapi Alba na Adriano?Leo Alves mtaam safi sana, big up Suarez bado Messi sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ht 2-0. ila naona Matthieu mpira umemgomea . wapi Alba na Adriano?Leo Alves mtaam safi sana, big up Suarez bado Messi sasa
Barca wanaharibu soccer-wako so laid back utafikiri wako mazoezini-yaani wakipandisha gear hakuna team duniani inayoweza kwenda nao toe to toe-hizi cross ndefu madhara yake kwa opposing teams ni hatari
jamaa yuko vizuri sana.Di lima anasema enzi za Messi na CR7 zimekwisha. zinaanza za Neymar.Neymar ni mchezi bora aje baada ya messi
jamaa yuko vizuri sana.Di lima anasema enzi za Messi na CR7 zimekwisha. zinaanza za Neymar.
ht 2-0. ila naona Matthieu mpira umemgomea . wapi Alba na Adriano?
naona aliona aibu. hata hivyo anajitahidi kwa mtu wa 32.Mathieu kama alijua unamsema haya kaassist hilo la 3.
kila la heri.
Neymar akishaingia katika penalt box,mawili umewaachie afunge goal au usababishe penaltMbona kwa mwendo huu vikombe vitatu tena vinatuhusu wadau