FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread


Msitafute kisingizio ni sababu tu tulizidiwa kutokana na bunduki zetu hazikuwepo.......wangetufunga usinge kuja na haya maneno,kwa jana hatukuwa vizuri....
 
Msitafute kisingizio ni sababu tu tulizidiwa kutokana na bunduki zetu hazikuwepo.......wangetufunga usinge kuja na haya maneno,kwa jana hatukuwa vizuri....

Shemeji yako ENZO anakutafuta kule kwenu.....
 
Last edited by a moderator:
ila huyu luis enrique anajifanya mjanja baada ya kuona neymar majeruhi na tayari timu imeshatinga 16 katoa bunduki zote ili kujikinga na majeraha mengine mii kwa hili nampa pongezi ukizingatia tarehe 17/12/2015 tuna mechi ya club world cup visca barca
 

Hilo umeliona Mkuu safi saana

Enrique ni kocha anayeweza kutumia resource vizr na akapata mafanikio hata kama kuna uhaba wa resource zenyewe
 
draw itakua mjini nyon tarehe 14/12/2015 monday on 12:00pm kwa saa za bongo ni saa 14:00pm (saa nane mchana africa ya mashariki)
 
mii nilitaka man u waingie halafu tuje kukutana nao tujipigie
 
Neymar kaumia na inasemekana hatoenda japan kwa michuano ya FIFA CLUB WORLD CUP
 
Mbali saaaaaaaana daaaaah Messsi hatariiiii
 
Barcelona 1 Deportivo 0 dk 39 King Messi
 
Goli la Messi ni freekick linaweza kuwa goli bora la mwez katika La Liga
 
Half Time BBarcelona 1 Deportivo 0
Messi dk 38
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…