FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

dk ya 16 munir katupia goli. barca 1 bilbao 0. Messi na Suarez wamepigwa benchi.
 
dk ya 24 Neyma katupia la pili. ni 2-0. ila jamaa leo wapo fresh.
 
dk 65 katoka turan kaingia kiberenge vidal. pengine mpira utaongezeka spidi.
 
big up kwa mafan wote wa barca full time 1-2 hawa atletico kipindi cha pili wameharibu mpira kwa kufanya faoul nyingi muhimu tumewashinda gem ya marudiano ni 27/01/2016 ndani ya camp nou hapo ile msn itakua iko poa wataipata good kama juzi jumapili
 
FT barcelona 2 bilbao 1. mpira ulikuwa na rafu nyingi sana na njano nyingi. hongera kwa macules wote.
 
Rekebisha hiyo tarehe
 
huyu dogo sergi. roberto ananifurahisha vibaya mno kila position anayowekwa anafanya vitu sawa bin sawiya ijapo kua kipindi cha pili alionekana kuchoka ila big up kwake dogo mbaya saaana mara nyuma mara kati mara left mara right mara mbele nafikiri ni mchezaji wa kwanza kutokea pale barca kucheza position tofauti
 
jmosi saa 12 jioni tutakuwa wageni wa malaga. jambo lingine zuri ni kurejea kwa bundesliga wikiendi hii. ijumaa ni Buyern na Hamburger.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…