FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Eti nimeona messi kavaa BWIN Eti ni nini? @ everlenk ukuje unieleweshe na wew maana sikuhizi nasoma habari za fesibuku tuu.
Hujambo?

Leo ni sikukuu ya wajinga Mkuu, Goal.com waliamua kuwatikisa mioyo mashabiki wa Man U, Real Madrid, Arsenal na wooooote wasioipenda Barca na Messi kwamba King Lionel Messi amejiunga na Real Madrid.

Hizo habari ni za uongo, Messi mwenyewe kasema akitoka Barca ataenda zake kwao kumalizia Soka. Hawezi kuvaa Jezi ya Madrid yule na alishawatolea nje mara 3.
 
Dadeeeeek wamenikamata aisee. Nilikuwa nimempania PNC sijui angekimbilia wapi yaani.
Mimi sijambo .mambo vipi?
 
Dadeeeeek wamenikamata aisee. Nilikuwa nimempania PNC sijui angekimbilia wapi yaani.
Mimi sijambo .mambo vipi?
Ahahahahahahahahahahaha yaani mimi asubuhi ile naingia Goal.com tu wacha nipigwe na butwaa, nikaanza kusoma habari huku nikiwa siamini macho yangu. Moyoni yakawa yanantoka maneno mazito mazito, mwisho kabisa wakaandika wanatutakia 1st April njema, nkakumbuka kumbe leo sikukuu ya wajingaaaaa.
 
Mimi nilisoma na tabasamu muruaaaa huku nafikiria nitatoa wapi bando nije kusumbua. Nimejichanga weeeee nikajiunga tuMB tudogo kumbe si kweli agrrrrrrrrrr
 
Mimi nilisoma na tabasamu muruaaaa huku nafikiria nitatoa wapi bando nije kusumbua. Nimejichanga weeeee nikajiunga tuMB tudogo kumbe si kweli agrrrrrrrrrr
Ahahahahahahahahahahahaha dah mkuu wakati nasoma hiyo habari yamentoka maneno mazitooooooo!!!!
 
Reactions: PNC
Ahahahahahahahahahahahaha dah mkuu wakati nasoma hiyo habari yamentoka maneno mazitooooooo!!!!
Ila bora sio kweli maana yule andunje angenifanya nisishabikie tena real
 
Namwona PNC 1 anapiga misele itakuwa anajua hii taarifa ni ya kweli.. mwokoeni mwenzenu
 
Reactions: PNC
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…