FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hufikirii kuwa hiyo 30%ya adui kama huna beki nzuri ndo itakuwa anguko lenu?sote tunafahamu umuhimu wa ukuta mzuri hata utawale vipi mpira ila kama huna watu wazuri pale kati ipo siku utaona umuhimu wao.
mkuu tiki taka ni aina ya total football ambayo iko advanced. kwenye total football mchezajj anatakiwa awe anaweza kucheza nafasi nyingi. usiwaone wakina Pique, Macherano, Alba na Alves wanapanda sana na wanachanganyikiwa tukipigwa kaunta ukadhani ni ukuta mbovu. ni style tuliyoamua kucheza na style zote huwa hazikosi kasoro.
 
Washindi mara 5 wa UCL nyuma ya Madrid 10 na milan 7.

El classico: kwa mechi za mashindano Madrid kashinda 92 na Barcelona kashinda 90. Kwa zote Barcelona kashinda 109 na Madrid 96.


Kwanza kwenye hii page yenu inabidi mfanye editing hizi data zishapitwa na wakati.
 
Nimekuelewa vizuri ndugu kwa mfano ulioutoa ndo maana nikasema kumpata mtu kama puyol ni muhimu sana coz alikuwa ni kiongozi na pia majukumu yake alikuwa akitekeleza uzuri.
 
Kwanza kwenye hii page yenu inabidi mfanye editing hizi data zishapitwa na wakati.
Mkuu ile dozi leo itumie yani ukiona Jina Barcelona unajisikia kuzirai
 
Kwa hyo Mascherano hana ubora
Kuna mdau hapo juu kaandika vizuri kuwa barca hamuhitaji kuwa na ukuta mzuri coz 70%ya mpira mnamiliki nyie ndo nikamjibu hiyo asilimia 30 iliyobaki siku mkikutana na watu wakaizidi ujanja hapo kati ndo mtaona matatizo yake.So macherano ni mchezaji wa kawaida tu .
 
achana na mascherano. sliding tackle master,kimo ndio kinamsumbua mipira ya juuu. barca tunacheza zaidi kwa ku attack na tunakaaa na mpira zaidi. Afu juzi tulitumia diamond formation na sio 4-3-3 flat.

Game ya juzi madrid walishindwa kutokana pia na kutokuwa makini kwenye finishing.

Wengi mnataman barca ife
 
Kuna watu naona wao ni die hard fans wa timu zao mpaka wanajua fans wa upande mwingine acheni upuuzi huo
 
Mkuu akeem mnakuwepogi wapi kuchangia jukwaani wakat wachambuz wazur mpo yani mnaonekana had mtu aiponde Barca au siku ya mechi Muwe mnakikumbuka jukwaa kutupatia nguvu tunaolala humuhumu
 
Mkuu huyo sio shabiki wa mpira bali kadandia treni la Messi tu. QATARunya Haina die hard fans umeona juzi Messi wao kafichwa hawakuja kutoa analyse ya game kwasababu hawaangaliagi mpira wanasubiri Messi afunge goli watupigie kelele humu.
Die hard yukoje na ndio mtu gani na anapaswa kushangilia timu gani
Maana daily nawasikia mkisema Barcelona hawana die hard
 
Kwa hyo mascherano unamfananisha na nani pale manyang'au
 
Die hard yukoje na ndio mtu gani na anapaswa kushangilia timu gani
Maana daily nawasikia mkisema Barcelona hawana die hard
Bado unaendelea kushabikia mpira tu?

Nauliza tu
 
Reactions: PNC
Bado unaendelea kushabikia mpira tu?

Nauliza tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sasa nitaachaje kuishabikia Fc Barcelona kwani imenikosea nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…