[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] atletico Messi atapiga 3 pia tutawafunga nyingi ukizingatia hasira juu ya mechi iliyopitaHahahahaha unaleta aggregate kwenye ligi ile ndugu. Vipi kwa atletico
Hizo tatu zitakuwa rahisi hivyo au. Mimi nasubiri maajabu ya mpira tu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] atletico Messi atapiga 3 pia tutawafunga nyingi ukizingatia hasira juu ya mechi iliyopita
Na iwe hivyo.Ilale salama Barca leo ndiyo mwisho wenu uefa
21:45game saa ngapi?
nne kasorobo. bado kama nusu saa.game saa ngapi?
Tuseme ameenNa iwe hivyo.
AmeenTuseme ameen
Barcelona leo anagongwa anebisha aweke jiwe mi natia ela
Ilale salama Barca leo ndiyo mwisho wenu uefa
Mkuu acha kutoka povu ata mechi na RMA wachambuz wengi walitabir Barcelona anashinda mwisho Wa sku kagongwaWachambuz wote wa Supersport world of champions walipoambiwa kila mtu atabir ni ushind wa ngapingapi leo kila mtu ameitabiria Barcelona ushindi mwingine 3:1 2:0 4:0 3:1 sasa wewe mbongo wa Tandale unasema kuwa Barcelona anafungwa
only in Tanzania
Tuwe wote dk90 hapa ndani na Leo mbeleko hamanaLabda barcelona ya Ecuador