FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

...game over; Atleti deserve it, they are the best for tonight!
 
Sanaaaaa.....nimeamini ule mwiko wa kuchukua UEFA Mara mbili mfululizo hauvunjiki aiseee.....dohhh hakuna ambaye alitegemea kweli Athetico you deserve it mmejua kutumia mbinu vizuri.....Barca no plan B.....
da!! we acha tu, barca isipoangalia itakoswa kila kitu. maana inaonekana jamaa wanameshawasoma ujanja wao.
 
Hesabu za kocha hazijakaa sawa. Ukiona atletico kaacha ule uchezaji wa kibabe na anacheza kistaarabu lazima ujiulize mara mbili.

Pique anarukaruka tu uwanjani utafikiri SnuraChura.
...MSN wamechoka, kucheza msimu mzima ni tatizo!
 
da!! we acha tu, barca isipoangalia itakoswa kila kitu. maana inaonekana jamaa wanameshawasoma ujanja wao.
Yeah sasahivi Timu zishasoma mtindo wa MSN inabidi kocha abadilishe style.....hapa tukazane na ligi na la Copa. ....
 
Hatimae barcelona wafungasha virago kurudi zao catalunya. Halla atletico madrid.
Nendeni salama. Karibuni tena
 
FT

Atletico Madrid 2-1 Barcelona

(Griezmann 36', 88')

Aggregate (3-2)

Bye bye MSN
 
...then next season we need to rectify wale mabeki wa kati,Pique & Mascherano hawana ubora,poor mistakes costing the team time and time again!
Unless otherwise,good luck kwa mliobakia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…