jd41
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,756
- 4,847
...beki wa kati lazima;mascherano walimfix tu toka enzi ya Guardiola,coz tuna miliki sn mpira,ila hana attributes za beki wa kati,Pique nae anatakiwa mbadala wake,akiwa off form apatikane mwingine wa kucheza nafasi yake,in central midfield:Kuna siku tulilijadili hili watu wakasema ooh tunamiliki mpira 80% hamuhitaji kuwa na beki bora ila nashukuru umeliona hilo.
namuona Iniesta nae umri unaanza kumtupa mkono,spidi imepungua,anasababisha Messi ana drop too deep kutafuta mipira,hii inawapa ahueni wapinzani wetu,coz ni km vile tunabaki na watu wawili mbele.
Goalkeeper:
nashindwa kuelewa kwa nn siku hizi anacheza Ter Stegen?, is this all bcoz of that fuss anataka kuondoka,ndio wameamua kumpa nafasi?,sioni sababu ya kuhofia kuondoka kwake,coz release clause wamemuwekea kubwa sn,sioni hao man city km watakuwa na kiburi cha kumnunua,na hata wakimnunua hatuwezi kosa mbadala wake.Jamaa hanivutii bado hajaweza kumiliki goli,Bravo was our best,only just bcoz he is 33 or something ndio wameamua kumuweka benchi,sijui,kwa goalkeeper mbn umri is not an issue,kiwango ndio kina matter,kina Van de Sar wameendelea kudaka all the way,Oliver Khan,Gigi Buffon,majanga mengine tunajitakia bila sababu,lile goli tulilo concede Camp Nou kwenye first leg sikulipenda kbs na kwa namna moja au nyingine liliwa motivate sn Atletico.
However;mpira ndivyo ulivyo, kushinda,kufungwa,na draw ndio matokeo,although it will be much better, if they fix the above deficiencies come next season.
VIVA BARCA!