FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hivi ikayokea timu zote zikafungana point mpaka mwisho, yaani barca, atletico na real itakuaje? Maana mambo ya head to head, barca mechi ya mwisho kampiga atletico, real kampiga barca na atletico kampiga madrid, itakuaje?
Au wanaposema head to head battles wanamaanisha nino?
 
Nilikuwa naperuzi msimamo wa Laliga hiyo MSN inayosifiwa mbona ipo nyuma ya BBC kwenye scoreline kwa ujumla wake??

Barcelona 88 goals
Madrid 98 goals
 
Deportivo anatoa draw na barca amini hili nisemalo
Na huyu jamaa mwingine atletico hamfungi Bilbao
 

Head to Head Barca atakuwa bingwa!

Fanya hesabu za kama wangekutana UEFA na matokeo yakawa yalivyokuwa baina yao nani angeshinda?

Real Madrid vs Barca
Game 1: Real Madrid 0 - 4 Barcelona
Game 2: Barca 1 - 2 Real Madrid

Aggregate Barca 5 - 2 Real Madrid

Atl Madrid vs Barca
Game 1: Barca 2 - 1 Atl Madrid
Game 2: Alt Madrid 1 - 2 Barca

Aggregate Barca 4 - 2 Atl Madrid

Real Madrid vs Atl Madrid
Game 1: Atl Madrid 1 - 1 Real Madrid
Game 2 Real Madrid 0 - 1 Atl Madrid

Aggregate Atl Madrid 2 - 1 Real Madrid.

So ikiwa wamegongana anagalia results hizo hapo juu, mwenye aggregate nzuri ndo anakuwa bingwa.
 
winning 39 matches in a row, to lose 4 in 5. PNC 1 what do you think is wrong with us?
Siyo Mbaya na hili nalo litapita.....halafu wachezaji wengi wamechoka sana wamecheza mfululizo bila kupumzika....next mambo yatakaa poa .
 
Barcelona bingwa
 
Nilikuwa naperuzi msimamo wa Laliga hiyo MSN inayosifiwa mbona ipo nyuma ya BBC kwenye scoreline kwa ujumla wake??

Barcelona 88 goals
Madrid 98 goals
Unaperuzi kwenye gazeti la Sani au Ijumaa
 
Deportivo anatoa draw na barca amini hili nisemalo
Na huyu jamaa mwingine atletico hamfungi Bilbao
Madrid kamweeeeeee hawezi kuwa bingwa ataambulia patupu hapat hata Uefa
 
Siyo Mbaya na hili nalo litapita.....halafu wachezaji wengi wamechoka sana wamecheza mfululizo bila kupumzika....next mambo yatakaa poa .
Sio kuchoka pekee hata dua mbaya kutoka kwa maadui zinawachosha
 
...game ya jumatano ni very important,waache hao Depo wapaki their bus all the way,but we need to find that space,no way!, the biggest mistake of all will be to let Atleti and Real come above us,we will suffer,no way Depo,we need those three points from you!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…