FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Last week kulikuwa na mjadala tunawaambia jamani back line yenu mbovu jibu jepesi tu wao wana miliki mpira sana so hawahitaji kuwa na ukuta bora sasa leo kama forward line ya valencia wangekuwa makini wangepata japo 4.
kweli mkuu. Yaani Sergio stopper and distributor, Ukimbana huyo hawana cha kufanya, iniesta anajikuta anafanya kazi double. Huyu jamaa hata humu ametepeta sana leo
 
Last week kulikuwa na mjadala tunawaambia jamani back line yenu mbovu jibu jepesi tu wao wana miliki mpira sana so hawahitaji kuwa na ukuta bora sasa leo kama forward line ya valencia wangekuwa makini wangepata japo 4.
Walimuangukia Neville 7 wakazani na leo ganda la ndizi barca wana pesa wazee wa Mkeka jamvi jipya hili
Kutoka kwenye hadithi za terebo hadi kwenda kufekenyua dokument za head to head, kweli maisha yanaenda mbio aisee
 
Next game Barca anaweza draw tena hivo kumwacha Real na atlet wakiwania
 
winning 39 matches in a row, to lose 4 in 5. PNC 1 what do you think is wrong with us?
Mkuu ni kipindi cha mpito tu hata hvyo mashabiki walijitokeza kwa wingi kutoa sapot kwa wachezaji ila bahat haikuwa yetu Tujipange kwa gemu ijayo dhidi ya deportivo ugenini ila tumecheza vzur japo Iniesta inabid apatikane mbadala wake mapema
 
kweli mkuu. Yaani Sergio stopper and distributor, Ukimbana huyo hawana cha kufanya, iniesta anajikuta anafanya kazi double. Huyu jamaa hata humu ametepeta sana leo
Nadhani akili itawakaa sasa tuliwaleza baada ya kuondoka puyol hamna kitasa tena hata mtu akikohoa mlango unafunguka hawakutuelewa wakaleta unazi.
 
Mkuu ni kipindi cha mpito tu hata hvyo mashabiki walijitokeza kwa wingi kutoa sapot kwa wachezaji ila bahat haikuwa yetu Tujipange kwa gemu ijayo dhidi ya deportivo ugenini ila tumecheza vzur japo Iniesta inabid apatikane mbadala wake mapema
Hiyo ndio ushabiki khaswa kujua makosa kweli mmeshambulia sana kipindi cha pili mngeweza hata kushinda ila iniesta kachoka kweli.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Kwa huu mwendo lazima mfikishe straight 39 lose kama mlivyofikisha 39 win teeeeeehe teehee

Btw hongera kwa messi kufikisha magoli 500 katika maisha yake ya soka
 
Mkuu ni kipindi cha mpito tu hata hvyo mashabiki walijitokeza kwa wingi kutoa sapot kwa wachezaji ila bahat haikuwa yetu Tujipange kwa gemu ijayo dhidi ya deportivo ugenini ila tumecheza vzur japo Iniesta inabid apatikane mbadala wake mapema
Vipigo vnakufanya unaongea point siku hizi
 
Beki yetu barca inanitia mashaka sana yani Rakit na Sergio wakidrop kidogo viwango nyuma uchochoro kuna haja kusajili mabeki wapya
 
Mkuu ni kipindi cha mpito tu hata hvyo mashabiki walijitokeza kwa wingi kutoa sapot kwa wachezaji ila bahat haikuwa yetu Tujipange kwa gemu ijayo dhidi ya deportivo ugenini ila tumecheza vzur japo Iniesta inabid apatikane mbadala wake mapema
hao dipotivo tulisale mechi ya kwanza kama Valencia. inanitia wasiwasi. lakini bado tunaongoza. visca barca.
 
Mkuu ni kipindi cha mpito tu hata hvyo mashabiki walijitokeza kwa wingi kutoa sapot kwa wachezaji ila bahat haikuwa yetu Tujipange kwa gemu ijayo dhidi ya deportivo ugenini ila tumecheza vzur japo Iniesta inabid apatikane mbadala wake mapema
02c7cff51d2c5a24a6a5d71e53dc48e8.jpg

Eti matokeo vipi [emoji780]
 
hao dipotivo tulisale mechi ya kwanza kama Valencia. inanitia wasiwasi. lakini bado tunaongoza. visca barca.
Ni kweli mkuu ile mechi hadi dakika ya 70 tulikuwa tunaongoza 2:0 ila baada ya pique kutoka na kuingia mathiew full time ikawa 2:2 na wale deportivo nou camp wanakuwaga wabishi sana ila kwao sio kiviile japo kwa mwendo huu tuliouanza hata mm napata wasiwas kwan pique hatokuwepo na itamlazmu mathiew acheze na ni beki ambaye ana mkos na deportivo la coruna.
 
Back
Top Bottom