FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Digne kacheza vizuri sana beki. Team imebalance Mathew alivotoka. Denis suarez nae anajitahidi sana ila naona bado muoga muoga hivi.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Full Time

Sevilla 0 Barcelona 2
Munir& Suarez

Tukutane Jumatano 2ND LEG

VIVA BARCELONA
 
kwanza natoa shukrani zangu za dhati za kipekee zimwendee mkuu P.N.C kwa jitihada anayoifanya katika jukwaa letu hili
big up mkuu PNC pili big up kwa mafans wote wa barca nategemea season hii tutachukua makombe yote kama vile tulivyochukua 2014/2015 nasema visca barca visca catalunya wakaanga sumu wataumiya saana hapo watajipa ugonjwa wa moyo
 
kwanza natoa shukrani zangu za dhati za kipekee zimwendee mkuu P.N.C kwa jitihada anayoifanya katika jukwaa letu hili
big up mkuu PNC pili big up kwa mafans wote wa barca nategemea season hii tutachukua makombe yote kama vile tulivyochukua 2014/2015 nasema visca barca visca catalunya wakaanga sumu wataumiya saana hapo watajipa ugonjwa wa moyo
Tuko pamoja mkuu

Next Match ni Jumatano Sevila wanakuja Camp Nou kuhitimisha 2nd Leg Super Cup Spain

Mda SAA 6:00 usiku E.A.T

VIVA BARCELONA
 
Digne kacheza vizuri sana beki. Team imebalance Mathew alivotoka. Denis suarez nae anajitahidi sana ila naona bado muoga muoga hivi.

D.Suarez ni mtamu kinoma mkuu,ngoja azoee mazingira ya pale utamfurahia sana.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
LEO SAA 6 KAMILI USIKU NI MUDA WA SHOO ZA KIKUBWA MDA WA BARCELONA KUFANYA YAO

NI MECHI YA KUHITIMISHA BINGWA MPYA WA SUPER CUP SPAIN.

BARCELONA wazee wa kuwachakaza Vs Sevila

Viva Barcelona

Club pendwaaa duniani inayochukiwa na wasiojua mpira
 
LEO SAA 6 KAMILI USIKU NI MUDA WA SHOO ZA KIKUBWA MDA WA BARCELONA KUFANYA YAO

NI MECHI YA KUHITIMISHA BINGWA MPYA WA SUPER CUP SPAIN.

BARCELONA wazee wa kuwachakaza Vs Sevila

Viva Barcelona

Club pendwaaa duniani inayochukiwa na wasiojua mpira

Na wanaoichukia ni wachache sana na ndio wanaotudisturb humu jf, si unaona Szczesny amebakia peke yake akiishangilia tim yake, wakati wenzake akina pagani washachoka na hilo litimu na kuhamia baca.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Na wanaoichukia ni wachache sana na ndio wanaotudisturb humu jf, si unaona Szczesny amebakia peke yake akiishangilia tim yake, wakati wenzake akina pagani washachoka na hilo litimu na kuhamia baca.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimemkumbuka PAGAN mtu wangu wa nguvu
 
Back
Top Bottom