Barcelona amekuwa bingwa mpya Super Cup Spain baada ya kuibuka kwa jumla ya ushindi wa goli 5:0
Ambapo mechi ya kwanza iliyochezwa huko Sevila Barcelona ilishinda 2:0 kwa magol yaliyofungwa na Suarez pamoja na Munir huku mechi ya pili ikichezwa leo na Barcelona kuibuka na ushindi wa goli 3:0 magoli yaliyofungwa na Arda Turan (2) pamoja na King Messi
Viva Barcelona bingwa mpya wa Supercopa de Espana