FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Mbona hata alikuwepo mlishinda goli la kubahatisha bahatisha tuu.
Halafu jana walicheza vizuri tu sema matokeo ndio yaligoma
We uliambiwa hilo goli la kubahatisha kivipi labda. Cha msingi ni point 3 siyo goli la kubahatisha. Na utueleze goli la kubahatisha likoje kwa mtazamo wako
 
Reactions: PNC
We uliambiwa hilo goli la kubahatisha kivipi labda. Cha msingi ni point 3 siyo goli la kubahatisha. Na utueleze goli la kubahatisha likoje kwa mtazamo wako
Lile alilo funga Messi na Uruguay lina kila element ya kubahatisha hasa kama uliliona ndio magoli ya namna ile
 
Reactions: PNC
Lile alilo funga Messi na Uruguay lina kila element ya kubahatisha hasa kama uliliona ndio magoli ya namna ile
Kumbe Messi ndo kafunga na siyo mpira umeingia kwa bahati mbaya[emoji1] [emoji1]
 
Reactions: PNC
BARCELONA IMEFANIKIWA KUMSAJILI RONALDINHO GAUCHO kama BALOZI
 
sasa kama"Einstein" wa football yaani Messi.anabahatisha goal hawa makapuku waliobakia wa soccer tutasema wanafungaje???
Napendaga tu unavyojibu na kuchambua soka.[emoji122] [emoji122]
 
Reactions: PNC
sasa kama"Einstein" wa football yaani Messi.anabahatisha goal hawa makapuku waliobakia wa soccer tutasema wanafungaje???
Labda lile goli la juzi hukulicheki, amini kuwa Messi alibahatisha.

Halafu jana hata angekuwepo kwa ile mechi ilivo kuwa msinge chomoa.
 
Reactions: PNC
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…